Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Waganga wa kienyeji wananiboa sana.
Usiwe mwoga,haya ni masuala ya u-judge tu na interview.ukizingatia Xpin hana noma na wewe.wewe ZD, naogopa kumpiga ovateki blaza Xpin!.
Unaweza ona kama hamgomabni lakini maneno yenu yanaonyesha hivo.Ngalikihinja na wewe ndio mnaandikiana maneno,kukukopi wewe isiwe ishu imetokea tu ningeweza hata kumkopi ngalikihinja.
kama nilivokueleza hiyo kichaa ni mfano tu kwa maana kuwa wewe na huyo mwenzio wate hamueleweki.
Nadhani umenipata vema ,nilikuwa nasema kubishana si vema.Tujengeeni hoja.
samahani mkuu kama nimekuudhi.
narudia tena,nothing personal ni upendo tu.
Naomba utoe ufafanuzi wa kueleweka. Mfano wa nini? Kueleweka kupi unakokutaka wewe?
Usiwe mwoga,haya ni masuala ya u-judge tu na interview.ukizingatia Xpin hana noma na wewe.
Iam out,sorry.I cant go on for my own reasons.
God bless you!
Mimi Musa wa channel five,anayeendesha kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!
heheheeee, kuna mambo mengine bana sijui yanakuaje yanatokea asubuhi asubuhi namna hii!, utaweza kujiuliza ni pombe au ni bange?
Mimi Musa wa channel five,anayeendesha kipindi cha uswazi,ananibore na pozi zake za kishoga shoga!!
Thank you sanaaaaa. Nahisi huyo jamaa atakuwa amekuingiza kwenye IGNORE LIST YAKE. Kwake hiyo ndo adhabu kubwa kumpa anayepishana naye kwa ujumbe.Iam out,sorry.I cant go on for my own reasons.
God bless you!
Nyie mnaumiza kichwa na hilo bwabwa, wenzenu huwa tunalipotezea linabaki kubwatuka peke yake.
Nyie mnaumiza kichwa na hilo bwabwa, wenzenu huwa tunaliotezea linabaki kubwatuka peke yake.
Na mimi pia nipigie niipime sauti yako.
heheheeeee, maana nna sauti ya kumtoa nyoka pangoni, nna maneno matumu balaaaa!, nna sauti ya ushawishi.(sore, off topic!)
nipe namba ya kilongalonga chako usikie mult-voice!
Thank you sanaaaaa. Nahisi huyo jamaa atakuwa amekuingiza kwenye IGNORE LIST YAKE. Kwake hiyo ndo adhabu kubwa kumpa anayepishana naye kwa ujumbe.