Pamoja na ushindi huu mnono.. bado tuna haja ya kukaa chini na kutafakari.. Kura 26000 walizopata wapinzani wetu(CCM) wamezipataje? tufanye nini ili Chaguzi zijazo CCM iambulie 0! lengo ni kuikomboa nchi come 2015
Mwisho wa Ubunge wa Makongoro Mahanga ni mwezi wa 5, subili kwa mara nyingine tena utaisikia sauti ya wakazi wa jimbo la Segerea.Wananchi wakifunguliwa na kujiamini hakuna lolote CCM inaweza kufanya kushinda uchaguzi wowote mdogo kuanzia sasa. Watanzania mjiamini!! Watu pekee ambao hatuwezi kuwasaidia kwa kweli ni wa Dar tu.
Wananchi wakifunguliwa na kujiamini hakuna lolote CCM inaweza kufanya kushinda uchaguzi wowote mdogo kuanzia sasa. Watanzania mjiamini!! Watu pekee ambao hatuwezi kuwasaidia kwa kweli ni wa Dar tu.
Wananchi wakifunguliwa na kujiamini hakuna lolote CCM inaweza kufanya kushinda uchaguzi wowote mdogo kuanzia sasa. Watanzania mjiamini!! Watu pekee ambao hatuwezi kuwasaidia kwa kweli ni wa Dar tu.
Kama kuna vitu vimeniudhi jana ni hili la Watanzania kuuiona CCM kila mahali kama jinamizi fulani hivi. NImewaambia matokeo hayabadiliki watu "what if what if!". Imefika mahali CCM ikikohoa watu wanapiga magoti na kuamkia "shikamoo". Matokeo yalikuwa yanajulikana kwa mtu yeyote ambaye angetaka kuyajua masaa zaidi ya kumi na mbili kabla. Lakini watu wakabakia kufikiria "labda watachakachua". Well, kuchakachua kunawezekana unapowapa credit mno; ni kana kwamba huweiz kuwazuia.
Makamanda wa CDM na wengine waliofanya kazi ya ajabu ya counter intelligence na vijana ambao hawakuchoka waliamini CCM inaweza kuzuiwa na vyombo vyake kupigishwa marktime. Wananchi wasiogope ving'ora na saluti, wasiogope kelele na TBC; kinachozungumza ni kura tu!! Ndio lugha pekee ambayo watawala wanaielewa!
Jamani CCM ni wananchi kama sisi!!! fungukeni; msiidharau wala kuudharau uwezo wake lakini msiifanye kana kwamba ina nguvu fulani ya Kimungu! HAINA. Arumeru Mashariki wamethibitisha.
Wacha na miye nipumzike.