watanzania wanahitaji jambo moja tuu ili waendeleo:kuiondoka ccm madarakani

mabadilikosasa

JF-Expert Member
Dec 23, 2010
379
85
ccm ya sasa inaongozwa na mafisadi, jk, ridhiwani, rostam, makamba.udini ni strategy yao ya kuwagawa wa watanzania ili wasiweze kudai haki zao kama taifa moja.ufisadi ni strategy yao ya kupata hela chafu kuwarubuni nec , baadhi ya wandishi wa habari,usalama wa taifa, na viongozi wa majeshi.wanagawa vyeo kwa uswahibi, msingi ya udini, udugu, urafiki, kama tawala nyinginezo duniani za kidikteta.hawana huruma kwa maskini.watanzania wengi ni omba omba wakati viongozi wachache wa ccm wanasaza,ni mabilionea kama chenge
 
Tanzania tunahitaji mapinduzi , hawa wasaliti wote wanastahili kukusanywa pale jangwani kisha wapigwe risasi hadharani iwe fundisho kwa wote, mimi ningependa nimtoe roho RA kwa mikono yangu, wanakera sana hawa mafisadi.
 
ccm ya sasa inaongozwa na mafisadi, jk, ridhiwani, rostam, makamba.udini ni strategy yao ya kuwagawa wa watanzania ili wasiweze kudai haki zao kama taifa moja.ufisadi ni strategy yao ya kupata hela chafu kuwarubuni nec , baadhi ya wandishi wa habari,usalama wa taifa, na viongozi wa majeshi.wanagawa vyeo kwa uswahibi, msingi ya udini, udugu, urafiki, kama tawala nyinginezo duniani za kidikteta.hawana huruma kwa maskini.watanzania wengi ni omba omba wakati viongozi wachache wa ccm wanasaza,ni mabilionea kama chenge

Hata CDM nao ni mafisadi pia : Mbowe (Madanguro na mkwepa kulipa kodi), Slaa ( ni mdini anaetaka kuifanya Tanzania kama vatican ibatizwe iwe ya wakatoliki tu, na pia Slaa ni fisadi wa wake za watu), Upendeleo wa ugawaji wa madaraka kwa kutumia ukabila (watu wa kaskazini tu) . Katu CDM kwa misingi hiyo hawatoweza kuja kutawala nchi hii ng'oooooo !
 
<b><font color="purple">Hata CDM nao ni mafisadi pia : Mbowe (Madanguro na mkwepa kulipa kodi), Slaa ( ni mdini anaetaka kuifanya Tanzania kama vatican ibatizwe iwe ya wakatoliki tu, na pia Slaa ni fisadi wa wake za watu), Upendeleo wa ugawaji wa madaraka kwa kutumia ukabila (watu wa kaskazini tu) . Katu CDM kwa misingi hiyo hawatoweza kuja kutawala nchi hii ng'oooooo !</font></b>
<br />
<br />
unasema ni mambo ambayo hayana msingi wote, ya uzushi.watanzania wa kweli, wazalendo, wenye akili timamu, na wanaojua dunia inavyokwenda, mambo yanayofanyika serikalini, lazima watamuunga mkono dr slaa na team yake kwa nguvu zote na maombi yao yote.lazima uwe na kasoro ya kiakili au kiroho kama unaunga ufisadi, wizi, na udini wa jk na ccm
 
Geniusbrain,umejizalilisha sana,siamini kama umetumia ubongo kufikiri,labda tumbo ndiolimetumika kufikiri.kama mbowe angekuwa na dangulo,mkwepa kodi ccm wangemshughulikia,kama dr slaa angekuwa mdini asingepambana na mafisadi,slaa amesema hata juzi amepeperusha bendera ya chadema tangu 1995 moaka leo hii lakini hajawahi kupata viti maalum,na hajawahi nkulalamika,sasa unaposema ugawaji wa madaraka kwa watu wa kaskazini unakuwa udajidanganya,humdanganyi mtu,acha siasa maji taka jenga hoja,weka maslahi ya taifa mbele,njaa hizo zitakujakuwatokea puani,,,,,
 
Geniusbrain,umejizalilisha sana,siamini kama umetumia ubongo kufikiri,labda tumbo ndiolimetumika kufikiri.kama mbowe angekuwa na dangulo,mkwepa kodi ccm wangemshughulikia,kama dr slaa angekuwa mdini asingepambana na mafisadi,slaa amesema hata juzi amepeperusha bendera ya chadema tangu 1995 moaka leo hii lakini hajawahi kupata viti maalum,na hajawahi nkulalamika,sasa unaposema ugawaji wa madaraka kwa watu wa kaskazini unakuwa udajidanganya,humdanganyi mtu,acha siasa maji taka jenga hoja,weka maslahi ya taifa mbele,njaa hizo zitakujakuwatokea puani,,,,,

Ukweli ndio huu, Slaa hakuwa anapigiwa debe makanisani ? mie mwenyewe nimeisha shuhudia hilo na tulimuonya padri wetu juu ya hilo, kwa kigezo eti huyu ni padri mwenzetu. Fika bilicanas pale uone uchafu unao endelea pale, zinaa inavyo fanyika nje nje , wewe upo Dar kweli? nadhani hujui usemalo nyamaza kimya. Ugawaji wa madaraka umeenda kindugu mf. Ndesamburo, mtoto wake na mkwewe wote viti maalum. Bado Mbowe na mtoto wa kufikia, je tutafika ? . Acheni ushabiki CHADEMA ni Chama cha kidini + Ukabila + Uchu wa madaraka, ni bora Mungu alituepusha nacho kushika madaraka, watanzania tungejuta maishani mwetu daima
 
GeniusBrain

Hicho ndicho ulicha nacho moyoni na unaishi hivyo.

Kaa hivyo hivyo na imani ya 47, Lakini mmebaki wachache mlio wajinga jinga.

Wewe ni kati ya wale wanaoamini kuwa Kofia ilyoandikwa "NYC" inamaanisha New York City

Kumbe maana yake ni NOT YET COMPETENT
 
Back
Top Bottom