mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
ccm ya sasa inaongozwa na mafisadi, jk, ridhiwani, rostam, makamba.udini ni strategy yao ya kuwagawa wa watanzania ili wasiweze kudai haki zao kama taifa moja.ufisadi ni strategy yao ya kupata hela chafu kuwarubuni nec , baadhi ya wandishi wa habari,usalama wa taifa, na viongozi wa majeshi.wanagawa vyeo kwa uswahibi, msingi ya udini, udugu, urafiki, kama tawala nyinginezo duniani za kidikteta.hawana huruma kwa maskini.watanzania wengi ni omba omba wakati viongozi wachache wa ccm wanasaza,ni mabilionea kama chenge