Watanzania wana kiu kikubwa cha kuitoa CCM, Je tatizo ni nini?

Just imagine kuwa kuna chama kimekaa kikao na kumpendekeza Freeman Aikaeli Mbowe awe rais wa Tanzania ......... are you serious? Kwa lipi ambalo litamfanya mtanzania yeyote amchague yeye kuwa rais? hata jimboni kwake kashinda kwa asilimia chache sana.
Upinzani umedoda!!

Kwa hili CHADEMA walichemsha, hata mgombea wao wa 2010 bado ana kasoro pamoja na kuwa ni bora kuliko MBOWE lakini yu mbali ukilinganisha na wagombea wa CCM HASA UKIANGALIA Biografy yake ya nyuma. Ninaimani kuwa CHADEMA watamchagua mgombea mwingine 2015.
 
It is just a matter of time, all things will be in good order. Let us wait and see. Every body will enjoy the remain part of fruits of our country instead of being angry with their own county.

Hatuwezi kukaa tu na kusubiri tukidhani matunda yatadondoka toka mbinguni. Ni lazima tufanye kazi, tena kazi ya akili na maadili mema ili tuwafikisha wapiga kura kule watakako. Hii sio lelemama!
 
Kuwa na viongozi wa vyama ambao walishiriki au wanashiriki katika nyadhifa za taasisi za kidini ni kosa kubwa kwa kipindi hiki, watanzania hawako tayari kwa hilo japokuwa kisheria inakubalika."

Nadhani hili lilianza tu kuwa kosa in 2010, maana viongozi hao walikuwa viongozi wa vyama husika hata kabla ya 2010. Reminds me of a line BHO said when asked if the criticism he gets could be on the basis of skin color. Ya know what he said? " I was black before the election"
 
Nadhani hili lilianza tu kuwa kosa in 2010, maana viongozi hao walikuwa viongozi wa vyama husika hata kabla ya 2010. Reminds me of a line BHO said when asked if the criticism he gets could be on the basis of skin color. Ya know what he said? " I was black before the election"

Ni muhimu kusoma alama za nyakati. SIDHANI KAMA DEMCRATS WANGETHUBUTU KUMSIMAMISHA BHO KAMA MGOMBEA WAO KATIKA NAFASI YA URAIS MWAKA 1950 WAKATI KUX KLAN IMESHAMIRI. Sina zaidi.
 
Na sisi tunataka ushahidi hapo kwenye nyekundu. Kama huna ushahidi ..... you know the rest!

Kumbuka ahadi ya Tume ya magamba ya uchaguzi kwamba matokeo ya uchaguzi wa 2010 ya Rais yangetangazwa siku moja baada ya uchaguzi, lakini nadhani unakumbuka matokeo yale hayakutangazwa baada ya siku moja maana uchakachuaji ulikuwa unafanywa usiku na mchana ili kuhakikisha kwamba matokeo yanaonyesha Kikwete ndiye mshindi wakati matokeo ya kweli yalikuwa yanaonyesha Dr Slaa ndiye mshindi na hadi hii leo tume ya magamba imeshindwa kutoa sababu za msingi za kuchelewa kutangaza matokeo yale kama walivyoahidi.

http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/matokeo-ya-urais-ndani-ya-siku
 
Ni muhimu kusoma alama za nyakati. SIDHANI KAMA DEMCRATS WANGETHUBUTU KUMSIMAMISHA BHO KAMA MGOMBEA WAO KATIKA NAFASI YA URAIS MWAKA 1950 WAKATI KUX KLAN IMESHAMIRI. Sina zaidi.

You are wrong again, apples and bananas. Just for your info KKK of the 50's was a far right hate organization that was ready to kill and did kill, maim, performed arson, so as to advance their agenda of white power. There was none such a group in Tanzania by 2010, none.
 
Kumbuka ahadi ya Tume ya magamba ya uchaguzi kwamba matokeo ya uchaguzi wa 2010 ya Rais yangetangazwa siku moja baada ya uchaguzi, lakini nadhani unakumbuka matokeo yale hayakutangazwa baada ya siku moja maana uchakachuaji ulikuwa unafanywa usiku na mchana ili kuhakikisha kwamba matokeo yanaonyesha Kikwete ndiye mshindi wakati matokeo ya kweli yalikuwa yanaonyesha Dr Slaa ndiye mshindi na hadi hii leo tume ya magamba imeshindwa kutoa sababu za msingi za kuchelewa kutangaza matokeo yale kama walivyoahidi.

MATOKEO YA URAIS NDANI YA SIKU MOJA - Global Publishers
Hiyo haijawahi kutokea, hata enzi za kikwete na mbowe. Uchaguzi ambao matokeo yake yalikuwa wazi kabisa. Ukitaka kutoa ushahidi lazima ufikirie kwanza, hivi ushahidi kama huo ulioutoa wa kinadharia unaweza kuupeleka mahakamani ukasikilizwa?
Geez!!
 
Nadhani hili lilianza tu kuwa kosa in 2010, maana viongozi hao walikuwa viongozi wa vyama husika hata kabla ya 2010. Reminds me of a line BHO said when asked if the criticism he gets could be on the basis of skin color. Ya know what he said? " I was black before the election"
Nadhani wewe ndiyo unafananisha apples na oranges.
Kwa utashi wako unaweza kukataa kwamba itakuwa ni vigumu sana kwa Tanzania kuwa na Rais ambaye alikuwa padre?
Sina haja ya kuleta udini but hiyo factor ilikuwa ni kubwa sana katika kupakazia kuwa CDM ni cha udini. Ni uwongo, ila madhara yake huwezi kuyakataa.
Kuhusu States, ni rahisi kwa mtu mweusi kupata urais kuliko mwanamke. Labda ungetumia mfano wa Hilary, au jinsi Franchise ya marekani ilivyopatikana tangu enzi za uhuru wao.
 
Hiyo haijawahi kutokea, hata enzi za kikwete na mbowe. Uchaguzi ambao matokeo yake yalikuwa wazi kabisa. Ukitaka kutoa ushahidi lazima ufikirie kwanza, hivi ushahidi kama huo ulioutoa wa kinadharia unaweza kuupeleka mahakamani ukasikilizwa?
Geez!!

Mahakama ipi!? Mahakama iliyo chini ya Serikali ya Magamba!? unategemea kweli CHADEMA ipate haki katika mahakama za magamba!? Angalia tu haki za Watanzania kutaka kuandama tu kudai haki zetu zinavyopigwa vita eti kwa kisingizi cha kuwepo wahuni wa kisomali nchini. Vyombo vya dola havijaweka wala havitaweka ushahidi wa kuonyesha hao wahuni wa kisomali wameingia nchini lini, wako mkoa gani au mikoa gani.

Cha kustaajabisha ni kwamba maandamano yanapigwa vita kwa kisingizio cha wahuni wa kisomali lakini hatuambiwi hatua zozote zinazochukuliwa na vyombo vya dola kuwatia wahuni hao hatiani. USANII MTUPU!!!! Halafu unasema ushahidi wa kuchakachua uchaguzi wa 2010 upelekwe mahakamani!!!!! Hivi unadhani kama tungekuwa na mahakama yenye kufuata sheri manyanyaso wanayoyapata Watanzania katika kona mbali mbali ya kuawawa (Igunga, Tarime, Mbeya, Mwanza, Arusha) na polisi, kutiwa vilema na kupigwa bila kwa sababu na msingi yangekuwepo!?

 
Mahakama ipi!? Mahakama iliyo chini ya Serikali ya Magamba!? unategemea kweli CHADEMA ipate haki katika mahakama za magamba!? Angalia tu haki za Watanzania kutaka kuandama tu kudai haki zetu zinavyopigwa vita eti kwa kisingizi cha kuwepo wahuni wa kisomali nchini. Vyombo vya dola havijaweka wala havitaweka ushahidi wa kuonyesha hao wahuni wa kisomali wameingia nchini lini, wako mkoa gani au mikoa gani.

Cha kustaajabisha ni kwamba maandamano yanapigwa vita kwa kisingizio cha wahuni wa kisomali lakini hatuambiwi hatua zozote zinazochukuliwa na vyombo vya dola kuwatia wahuni hao hatiani. USANII MTUPU!!!! Halafu unasema ushahidi wa kuchakachua uchaguzi wa 2010 upelekwe mahakamani!!!!! Hivi unadhani kama tungekuwa na mahakama yenye kufuata sheri manyanyaso wanayoyapata Watanzania katika kona mbali mbali ya kuawawa (Igunga, Tarime, Mbeya, Mwanza, Arusha) na polisi, kutiwa vilema na kupigwa bila kwa sababu na msingi yangekuwepo!?

Hivi mbona mnapenda kulalamika kama vibibi vizee?... yaani vijana wazima mnakaa kulalamika na kukopi hotuba za viongozi wa upinzani kama hamna vichwa na miguu.
Kwani nyie hamuwaoni watu wa mashariki ya kati wakiandamana kwa miezi nane mfululizo, tena ni wasichana wadogo tu. Umma ukiamua umeamua, you can just tell by feeling it.
Kuna mahakama nyingi tu duniani ambazo zinaweza kusikiliza malalamiko ya vikundi vya jamii mbalimbali kuhusu dhuluma. Kwani Japhet Kirilo alipelekwa na nani umoja wa mataifa? Ukitaka ku prove case yako, utaiprove tu, mradi uwe na ushahidi wa maana. Mnapenda kulazimisha kuwa watanzania wengi wanai support CDM hali mkijua huo si ukweli, I mean how many times can we prove you guys wrong?
Just because you have 15,000 people in your rally, that doesn't make you a president.
 
Hivi mbona mnapenda kulalamika kama vibibi vizee?... yaani vijana wazima mnakaa kulalamika na kukopi hotuba za viongozi wa upinzani kama hamna vichwa na miguu.
Kwani nyie hamuwaoni watu wa mashariki ya kati wakiandamana kwa miezi nane mfululizo, tena ni wasichana wadogo tu. Umma ukiamua umeamua, you can just tell by feeling it.
Kuna mahakama nyingi tu duniani ambazo zinaweza kusikiliza malalamiko ya vikundi vya jamii mbalimbali kuhusu dhuluma. Kwani Japhet Kirilo alipelekwa na nani umoja wa mataifa? Ukitaka ku prove case yako, utaiprove tu, mradi uwe na ushahidi wa maana. Mnapenda kulazimisha kuwa watanzania wengi wanai support CDM hali mkijua huo si ukweli, I mean how many times can we prove you guys wrong?
Just because you have 15,000 people in your rally, that doesn't make you a president.

Inaelekea mwenzetu ni fisadi au unaneemeka kupitia migongo ya mafisadi ndio maana huoni sababu ya kutoonyesha Watanzania kuridhika na Serikali mbovu ya Kikwete ambayo imeongeza kwa kiasi kikubwa matatizo chungu nzima kwa watanzania kutokana na kutokuwa na vision kama kiongozi pamoja na nchi yetu kuwa na utajiri mkubwa sana tuliojaaliwa na Mwenyezi Mungu.

Kuhusu kuandamana hata Watanzania itafika siku tutasema sasa basi liwalo na liwe kama kutupiga waache watupige, kama kututia vilema waache watutie vilema na kama kutuua waache watuue na mfano wa haya tumeshuona kule Arusha, Mbeya na Mwanza kwa maoni yangu kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka na ya kweli basi hali hii itasambaa katika mikoa mingine na hapo ndipo magamba watajua kwamba nguvu ya umma siku zote haiwezi kudhibitiwa na nguvu ya dola na hapo ndipo utakuwa mwisho wa manyanyaso yenu dhidi ya Watanzania.

Ni nani aliyejua kwamba Mubarak baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30 pamoja na kuwa na jeshi kubwa lenye nguvu na silaha za hali ya juu toka Marekani angetimuliwa na Wamisri ambao hawakuwa na silaha za kupambana na jeshi lake!? Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.
 
Hivi mbona mnapenda kulalamika kama vibibi vizee?... yaani vijana wazima mnakaa kulalamika na kukopi hotuba za viongozi wa upinzani kama hamna vichwa na miguu.
Kwani nyie hamuwaoni watu wa mashariki ya kati wakiandamana kwa miezi nane mfululizo, tena ni wasichana wadogo tu. Umma ukiamua umeamua, you can just tell by feeling it.
Kuna mahakama nyingi tu duniani ambazo zinaweza kusikiliza malalamiko ya vikundi vya jamii mbalimbali kuhusu dhuluma. Kwani Japhet Kirilo alipelekwa na nani umoja wa mataifa? Ukitaka ku prove case yako, utaiprove tu, mradi uwe na ushahidi wa maana. Mnapenda kulazimisha kuwa watanzania wengi wanai support CDM hali mkijua huo si ukweli, I mean how many times can we prove you guys wrong?
Just because you have 15,000 people in your rally, that doesn't make you a president.

JK mwenyewe haziamini Mahakama zake, otherwise angeshawapeleka Chenge, Rostam na Lowasa mahakamani! Hapa njia rahisi ya kutafuta haki ni kupitia "Nguvu ya Umma!" Hapa hakuna cha uchakachuaji wala nini, kama ni mabomu ya machozi watu wameshazoea sasa, hawaogopi tena!
 
Inaelekea mwenzetu ni fisadi au unaneemekja kupitia migongo ya mafisadi ndio maana huoni sababu ya kutoonyesha Watanzania kuridhika na Serikali mbovu ya Kikwete ambayo imeongeza kwa kiasi kikubwa matatizi chungu nzima kwa watanzania kutokana na kutokuwa na vision kama kiongozi pamoja na nchi yetu kuwa na utajiri mkubwa sana tuliojaaliwa na Mwenyezi Mungu.

Kuhusu kuandamana hata Watanzania itafika siku tutasema sasa basi liwalo na liwe kama kutupiga waache watupige, kama kututia vilema waache watutie vilema na kama kutuua waache watuue na mfano wa haya tumeshuona kule Arusha, Mbeya na Mwanza kwa maoni yangu kama hakutakuwa na mabadiliko ya haraka na ya kweli basi hali hii itasambaa katika mikoa mingine na hapo ndipo magamba watajua kwamba nguvu ya umma siku zote haiwezi kudhibitiwa na nguvu ya dola na hapo ndipo utakuwa mwisho wa manyanyaso yenu dhidi ya Watanzania.

Ni nani aliyejua kwamba Mubarak baada ya kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30 pamoja na kuwa na jeshi kubwa lenye nguvu na silaha za hali ya juu toka Marekani angetimuliwa na Wamisri ambao hawakuwa na silaha za kupambana na jeshi lake!? Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.

Ndiyo maana ikaletwa mada ambayo imeambatanishwa na utafiti kuwa watanzania hawako tayari kuunga mkono upinzani, kwa kuwa wote ni walewale tu.
Utazidi kuwaita watu mafisadi mpaka utachoka, utawatukana watu na kuwadharau mpaka utachoka.Mageuzi hayahitaji ruhusa, yanahitaji watu, kama huna watu wapendao mageuzi sidhani kama yatatokea.
 
Ndiyo maana ikaletwa mada ambayo imeambatanishwa na utafiti kuwa watanzania hawako tayari kuunga mkono upinzani, kwa kuwa wote ni walewale tu.
Utazidi kuwaita watu mafisadi mpaka utachoka, utawatukana watu na kuwadharau mpaka utachoka.Mageuzi hayahitaji ruhusa, yanahitaji watu, kama huna watu wapendao mageuzi sidhani kama yatatokea.

Nimeuliza utafiti huu ulifanywa kuanzia lini hadi lini? Katika mikoa ipi? idadi ya Watanzania walioshiriki katika utafiti huu ni ipi? Bado nasubiri majibu ya maswali yangu, yakishindwa kujibiwa basi huu utafiti ni usanii mwingine ambao hauhitaji hata kujadiliwa popote pale. Huwezi ukafanya utafiti bila hata kujua ukubwa wa sample yako au kujua utafiti wako ulichukua muda gani.

Si mie pekee yangu ninayewaita wezi wakubwa nchini mwetu waliomo ndani ya Serikali na magamba mafisadi bali Watanzania wengi wanaona hivyo hasa ukitilia maanani matukio ya EPA, Meremeta, Kagoda, Richmond/Dowans, Kiwira Coal Mining, Uuzwaji wa Nyumba za Serikali, Unyang'anyaji wa ardhi ya Watanzania katika sehemu mbali mbali nchini, mikataba ya uchimbaji wa madini yetu ambapo nchi yetu imeingia hasara ya zaidi ya shilingi Trilioni moja.

Ungekuwa siyo fisadi au unayeneemeka kupitia migongo ya mafisadi basi ungekubaliana na Watanzania kuona kwamba nchini mwetu kuna mafisadi ambao wanajitajirisha kiujanja ujanja huku idadi kubwa ya Watanzania wakiendelea kuishi maisha yenye dhiki ya kutisha. Kwako wewe fisadi/unayeneemeka kupitia migongo ya mafisadi haya matukio yote ya EPA, Meremeta, Kagoda, Richmond/Dowans, Kiwira Coal Mining, Uuzwaji wa Nyumba za Serikali, Unyang'anyaji wa ardhi ya Watanzania katika sehemu mbali mbali nchini, mikataba ya uchimbaji wa madini yetu hayapo unaona ni hadithi tu za kusadikika.

 
Nimeuliza utafiti huu ulifanywa kuanzia lini hadi lini? Katika mikoa ipi? idadi ya Watanzania walioshiriki katika utafiti huu ni ipi? Bado nasubiri majibu ya maswali yangu, yakishindwa kujibiwa basi huu utafiti ni usanii mwingine ambao hauhitaji hata kujadiliwa popote pale. Huwezi ukafanya utafiti bila hata kujua ukubwa wa sample yako au kujua utafiti wako ulichukua muda gani.

Si mie pekee yangu ninayewaita wezi wakubwa nchini mwetu waliomo ndani ya Serikali na magamba mafisadi bali Watanzania wengi wanaona hivyo hasa ukitilia maanani matukio ya EPA, Meremeta, Kagoda, Richmond/Dowans, Kiwira Coal Mining, Uuzwaji wa Nyumba za Serikali, Unyang'anyaji wa ardhi ya Watanzania katika sehemu mbali mbali nchini, mikataba ya uchimbaji wa madini yetu ambapo nchi yetu imeingia hasara ya zaidi ya shilingi Trilioni moja.

Ungekuwa siyo fisadi au unayeneemeka kupitia migongo ya mafisadi basi ungekubaliana na Watanzania kuona kwamba nchini mwetu kuna mafisadi ambao wanajitajirisha kiujanja ujanja huku idadi kubwa ya Watanzania wakiendelea kuishi maisha yenye dhiki ya kutisha. Kwako wewe fisadi/unayeneemeka kupitia migongo ya mafisadi haya matukio yote ya EPA, Meremeta, Kagoda, Richmond/Dowans, Kiwira Coal Mining, Uuzwaji wa Nyumba za Serikali, Unyang'anyaji wa ardhi ya Watanzania katika sehemu mbali mbali nchini, mikataba ya uchimbaji wa madini yetu hayapo unaona ni hadithi tu za kusadikika.

Mimi siwezi kuupigia kelele ufisadi. Na wala sijaneemeka na ufisadi. Mwenyezi mungu amenibariki kwa namna moja au nyingine kuweza kupata kipato cha halali kinachotokana na jasho langu
.
Na nimebahatika kusafiri nchi kadhaa na kuishi nchi kadhaa (sio kama najidai, maana mtaanza hizo) na nimeona karibu kila nchi ufisadi upo kwenye siasa tena wa hali ya juu.

Nipo states sasa hivi na ukisikia ufisadi uliopo jeshini la marekani, with evidence unaweza shangaa, ufisadi uliopo wall street, ufisadi unaofanywa na serikali za uingereza, China n.k ni humungous!!... but hey, it is what it is.

Kama wewe BAK ukiiba bilioni mia moja na ukaanzisha shirika lako la reli na kupatia wananchi usafiri wa maana toka Dar mpaka mwanza, mpanda, kigoma etc... mimi wala sitakumind, ni wapuuzi wanaoiba halafu hamna cha maana kinachoendelea ndio labda nitawamind, ila hiyo siyo kazi yangu.

Kama unataka research papers kuhusu democracy and opposition in Tanzania, unaweza kula nondo hii hapa chini, kutoka Georgetown University (kama mvivu wa kusoma just scroll to page 5, halafu nenda kwenye conclussion).

Tanzania's Missing Opposition ---
 
Niliwahi kusema zamani kuwa 54% ya watanzania mwaka 2010 hawakupiga kura. From 46% ya wapiga kura only 62% ya wapiga kura walikuwa wameipigia kura CCM na Chadema kilipata asilimia 27% huku CUF ikiwa ya tatu kikipata 8.3%.

Kama kuna chama kitaweza kutambua matatizo ya asilimia 54% ya watanzania ambao hawakupiga kura basi chama hicho kitaweza kuwaangusha CCM, Chadema, na CUF. Kwasababu hawa 54% wangelikuwa chama cha siasa basi sasa hivi tungelikuwa na serikali mbadala ya CCM.

Tafakari!!!
Sikubali kabisa kuwa 54% ya Watanzania hawakupiga kura 2010. Kilichotokea ni kwamba ili Kikwete kupata ushindi, baada ya kushindwa Arusha, Moshi, Mara, Mwanza, ilibidi NEC wapike kura na kuondoa idadi kubwa ya wapiga kura kuonyesha kwamba Kikwete alipata asilimia 61% wakati ukweli ni kwamba alipata asilimia 27% kwenye kura za urais. Musoma mjini Kikwete alipata kura tatu tu. Lakini ikabidi wageuze na kumpa ushindi. Matokeo yake ndiyo tunayoyaona hivi sasa. Hebu waambie NEC watoe matokeo kamili ya uchaguzi wa 2010 kama watakujibu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sikubali kabisa kuwa 54% ya Watanzania hawakupiga kura 2010. Kilichotokea ni kwamba ili Kikwete kupata ushindi, baada ya kushindwa Arusha, Moshi, Mara, Mwanza, ilibidi NEC wapike kura na kuondoa idadi kubwa ya wapiga kura kuonyesha kwamba Kikwete alipata asilimia 61% wakati ukweli ni kwamba alipata asilimia 27% kwenye kura za urais. Musoma mjini Kikwete alipata kura tatu tu. Lakini ikabidi wageuze na kumpa ushindi. Matokeo yake ndiyo tunayoyaona hivi sasa. Hebu waambie NEC watoe matokeo kamili ya uchaguzi wa 2010 kama watakujibu.
Yapo online.
 
Just imagine kuwa kuna chama kimekaa kikao na kumpendekeza Freeman Aikaeli Mbowe awe rais wa Tanzania ......... are you serious? Kwa lipi ambalo litamfanya mtanzania yeyote amchague yeye kuwa rais? hata jimboni kwake kashinda kwa asilimia chache sana.
Upinzani umedoda!!
Wewe muongo sana. CCM walimwaga millioni tano kuhakikisha Freeman Mbowe hashindi kwa kununua hati za wapiga kura hata hivyo Freeman akashinda with a comfortable margin. Kama ilikuwa ni asilimia chache mbona mgombea wa CCM alishindwa kukata rufaa? Chadema inawapa homa kwa sababu ya Freeman Mbowe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
By time watu wataelewa hasa sekta makini kama elimu,afya na uchumi duni tutafikia kama somalia
 
Wewe muongo sana. CCM walimwaga millioni tano kuhakikisha Freeman Mbowe hashindi kwa kununua hati za wapiga kura hata hivyo Freeman akashinda with a comfortable margin. Kama ilikuwa ni asilimia chache mbona mgombea wa CCM alishindwa kukata rufaa? Chadema inawapa homa kwa sababu ya Freeman Mbowe.
Kwani ukishindwa kwa asilimia chache unakata rufaa?
Hivi JK anaweza kupata asilimia 52 ya kura angegombea ubunge Bagamoyo/ chalinze...... or wherever he's from?
 
Back
Top Bottom