View attachment 15710 Embu angalieni jamani , eti haya ndo maisha bora kwa kila Mtanzania !!!!???
hapo umeöna tatizo gani?, mbona hao watoto wanaafya njema?
GAMA........... HIVI WEWE NI MZIMA KWELI...............AND YOU CALL YOURSELF "GREAT THINKER"..........??? YAANI HAPO UNAONA TATIZO LINATAZAMWA KWENYE AFYA TUUUUUUUUUUUU.........!!!!!!!!! Kumbuka uzima wa mguu hauwezeshi macho kuona............Hapo umeöna tatizo gani?, mbona hao watoto wanaafya njema?