Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Mi nasema na ntazidi kusema Dr Slaa ni shujaa wa karne na uwezo wake haupimiki kwa kumlinganisha na kiongozi yeyote Tanzania. Full stop!
Umetumia kigezo gani kufikia conclusion hii mkuu.
By the way kwa kumtaja shujaa wa "karne hii sasa" tayari unaonyesha uwezo wako wa kufikiri unaishia wapi!!