Mh: Mama Balozi Tanzania House London.
Mh: Waziri Mkuu, Dar es salaam.
Mh: M/Kiti Tume ya Uchaguzi, Dar es salaam.
Wapendwa WanaJF na Watanzania kwa jumla.
Kutokana na Utandawazi ulioenea Kiteknolojia ambao umesaidia kurahisisha mambo mengi hasa katika sekta ya Mawasiliano, nadhani wakati umefika kwa Watanzania wanaoishi Ughaibuni kushiriki katika uchaguzi mkuu na kutumia Haki yao ya kidemokrasia, kwenye Uchguzi wa Rais wa Jamhuri.
Wanajamvi naomba kuwasilisha hoja.
Mh: Waziri Mkuu, Dar es salaam.
Mh: M/Kiti Tume ya Uchaguzi, Dar es salaam.
Wapendwa WanaJF na Watanzania kwa jumla.
Kutokana na Utandawazi ulioenea Kiteknolojia ambao umesaidia kurahisisha mambo mengi hasa katika sekta ya Mawasiliano, nadhani wakati umefika kwa Watanzania wanaoishi Ughaibuni kushiriki katika uchaguzi mkuu na kutumia Haki yao ya kidemokrasia, kwenye Uchguzi wa Rais wa Jamhuri.
Wanajamvi naomba kuwasilisha hoja.