kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Hatimaye hayawi hayawi YAMEKUWA baada ya Watanzania wawili kufanikiwa KUMALIZA mbio za Marathon katika siku ya mwisho ya michezo ya Olimpiki, London 2012.
Hiyo ni baada ya mkimbiaji wetu mahiri Mussa Faustine kushika nafasi ya 33, huku mwenzake Ramadhan Samson akifanikiwa kushika nafasi ya 66 kati ya wakimbiaji 85 waliomaliza mbio hizo.
Kama kawaida yetu, sote tujumuike pamoja kuwapongeza vijana wetu kwa KAZI KUBWA waliyoifanya ya kufanikiwa kumaliza mbio hizo za Km 42 (yaani zaidi ya tripu 10 za Ubungo-Mwenge kwa kupitia Sam Nujoma).
Wahenga walisema KUMALIZA NI JUHUDI, KUSHINDA MIPANGO YA MUNGU. (ingawa kwa mtaji huo basi Mungu atakuwa na upendeleo kwa wenzetu).
...Wapi Gida Buday!
kwa matokeo kamili bofya hapa: http://www.london2012.com/athletics/event/men-marathon/index.html?v=20120812-214304762
Hiyo ni baada ya mkimbiaji wetu mahiri Mussa Faustine kushika nafasi ya 33, huku mwenzake Ramadhan Samson akifanikiwa kushika nafasi ya 66 kati ya wakimbiaji 85 waliomaliza mbio hizo.
Kama kawaida yetu, sote tujumuike pamoja kuwapongeza vijana wetu kwa KAZI KUBWA waliyoifanya ya kufanikiwa kumaliza mbio hizo za Km 42 (yaani zaidi ya tripu 10 za Ubungo-Mwenge kwa kupitia Sam Nujoma).
Wahenga walisema KUMALIZA NI JUHUDI, KUSHINDA MIPANGO YA MUNGU. (ingawa kwa mtaji huo basi Mungu atakuwa na upendeleo kwa wenzetu).
...Wapi Gida Buday!
kwa matokeo kamili bofya hapa: http://www.london2012.com/athletics/event/men-marathon/index.html?v=20120812-214304762