nikiwa kama mtanzania ninayeishi uk naanzisha harambee ya kununua mask na na miwani ya kuzuia macho yasidhurike na mabomu ya askari wa ccm ffu chadema inapofanya mikutano,maana sasa lazima tujitolee kwa hali na mali kuikomboa nchi yetu kaburu aliwauwa akina solomoni mahlangu akina steve biko lakini mauwaji na mabomu na mbwa kuuma watu na kumuweka mandela ndani kwa miaka 27 haikurudisha nyuma mapambano ya kuwaondoa makaburu na leo afrika kusini ni nchi huru na ccm ifahamu vijana wananguvu kuliko ffu na polisi wao iko siku tutasema sasa basi na hapo kikwete na maswahiba zake watakumbukwa kwa uandaaji wao wa umwagaji wa damu is amatter of time bomu la tz likilipuka hakuna atakayesalimika ndani ya ccm maana lazima kuwashugulikia kwa njia hiyo hyo wanayoitumia.nitajitolea mask 1000 na miwani yake kwa kuanzia hili halina utani wala mjadala.