Watanzania wa Dallas wafanya kitu cha kuigwa

Magabe Kibiti

JF-Expert Member
Jan 20, 2008
292
0
Mods tafadhali naombeni hii ikae hapa angalau weekend hii ingawa haiusiani na siasa moja kwa moja.

Nilikuwa napitia blog ya michuzi na nikaona tangazo la watanzania walioko Dallas ambao wameanzisha restaurant yao na kuiita kijiweni. Tafadhali fuata hii link hapa chini:

MICHUZI

Kwa kweli nimefurahi sana kuona vijana wa kitanzania wakishirikia na kufanya mambo makubwa kama haya ya biashara halali za kuwapatia pesa na nafasi muhimu ya lines of credit toka kwa benki za marekani. Mimi siishi Dallas ila nimefurahishwa sana na hili.

Huu ni mfano wa kuigwa na natumaini watanzania wengi wataendelea na moyo huu wa kufanya mambo makubwa huko kwenye nchi walizoamua kuishi na kutafuta mali. Hii pia itakuwa ni nafasi nzuri ya kutambulisha vyakula vya kitanzania na kiafrika kwa wamarekani ambao hawajawi kufika Afrika.

Hongereni sana kwa kazi nzuri na mfano mzuri mlioonyesha wenzetu wa Dallas
 
Magabe , ulikuwa hujajua wewe tu ukifika The Hague kuna bonge la Restaurant goes by the name of Serengeti something like that ingia u google uone kwamba dallas wamechelewa na kuna makubwa zaidi ya hayo ila hawavumi lakini wapo .
 
Magabe , ulikuwa hujajua wewe tu ukifika The Hague kuna bonge la Restaurant goes by the name of Serengeti something like that ingia u google uone kwamba dallas wamechelewa na kuna makubwa zaidi ya hayo ila hawavumi lakini wapo .

Kumbe Lunyungu ni mzee wa Den Haag?
 
Kumbe Lunyungu ni mzee wa Den Haag?

Kipunguni unataka kusema kwamba Magabe ni mzee wa Dallas kwa kuwa kaleta habari hii ? Hivi kujua jambo la mahali fulani lazima uwe watoka huko ? Anyway wacha nikupe urahisi .Yes niko The Hague kaka .
 
Kipunguni unataka kusema kwamba Magabe ni mzee wa Dallas kwa kuwa kaleta habari hii ? Hivi kujua jambo la mahali fulani lazima uwe watoka huko ? Anyway wacha nikupe urahisi .Yes niko The Hague kaka .

Nakutania tu ndugu yangu ..... sina nia mbaya. Nakutakia holiday season njema!
 
Magabe , ulikuwa hujajua wewe tu ukifika The Hague kuna bonge la Restaurant goes by the name of Serengeti something like that ingia u google uone kwamba dallas wamechelewa na kuna makubwa zaidi ya hayo ila hawavumi lakini wapo .

Lunyungu,

Asante sana kwa habari ya kuhusu Serengeti - The Hague.
Inafurahisha na kutia moyo kuona mambo mazuri kama haya yakifanywa na watanzania. Ni vizuri kupata good news katikati ya wizi na ufisadi unaofanywa na viongozi wa serikali kila siku. Ni vizuri kujua kuwa kuna watanzania wengi tu wanafanya (wana nia ya kufanya) mambo halali ili kujipatia pesa na utajiri.

Nimefarijika sana leo.
 
Lunyungu,

Asante sana kwa habari ya kuhusu Serengeti - The Hague.
Inafurahisha na kutia moyo kuona mambo mazuri kama haya yakifanywa na watanzania. Ni vizuri kupata good news katikati ya wizi na ufisadi unaofanywa na viongozi wa serikali kila siku. Ni vizuri kujua kuwa kuna watanzania wengi tu wanafanya (wana nia ya kufanya) mambo halali ili kujipatia pesa na utajiri.

Nimefarijika sana leo.


I was in London last few weeks huko bado Watanzania wengi wao ni waongo na majungu kuchunguzana na watu wa kumwaga ma Party .Hawajaamka na sitegemi wataamka karibuni lakini kusema ukweli Watanzania wanao ipenda Tanzania hata hawangoji ajira za Serikali wanajituma mapema kwenye ujasiriamali .


Restaurant Serengeti, african cuisine in the hague,Holland, located on wagenstraat 190,Avenue Culinaire

Jionee mwenywe
 
Hili ni jambo zuri sana linabidi kuigwa na Watanzania wote walio nchi za nje kuungana na kufungua biashara ambazo zitawasaidia kuongeza vipato vyao na pia kujiajiri au kuajiri Watanzania wenzao. Hongereni sana.
 
I was in London last few weeks huko bado Watanzania wengi wao ni waongo na majungu kuchunguzana na watu wa kumwaga ma Party .Hawajaamka na sitegemi wataamka karibuni lakini kusema ukweli Watanzania wanao ipenda Tanzania hata hawangoji ajira za Serikali wanajituma mapema kwenye ujasiriamali .


Restaurant Serengeti, african cuisine in the hague,Holland, located on wagenstraat 190,Avenue Culinaire

Jionee mwenywe


Nawapa Hongera hawa Wenzetu wa Dallas.

Damn Lunyungu...huwatendei haki Watanzania wa UK. Kuna Club Afrique (East London) kuna Bongo Flavour Store maeneo ya Reading na pia kuna Club nyingine Leiscester (jina limenitoka). Kuna jamaa zangu wapemba wanaleta bidhaa za kilima kutoka Tanzania kuja UK wapo London, kuna mwingine (Amani)ana Morgage Firm, Nottingham. Hizo ndizo ninazojua mimi tu...nina uhakika kuna nyingine. Sio kila mtanzania mwenye business yake anaona umuhimu wa kujitangaza kwenye blog kama ya Michuzi. Inategemea na biashara yenyewe pia.
 
I was in London last few weeks huko bado Watanzania wengi wao ni waongo na majungu kuchunguzana na watu wa kumwaga ma Party .Hawajaamka na sitegemi wataamka karibuni lakini kusema ukweli Watanzania wanao ipenda Tanzania hata hawangoji ajira za Serikali wanajituma mapema kwenye ujasiriamali .


Restaurant Serengeti, african cuisine in the hague,Holland, located on wagenstraat 190,Avenue Culinaire

Jionee mwenywe
Wewe kutwa upo Tarime, habari na vijimambo vya UK utajulia wapi?...Uk kuna mpaka Biriani chini ya wajasirimali(kwa lugha ya Mkapa) wacha konyagi na safari lager...
 
...good to hear that,tukishuka huko Soth tutatia timu hapo kula hiyo milenda na visamvu,vipi Chagas maana back home ni sharp ile mbaya kwa mambo ya biashara...vipi hapa mtoni? najua ni swala la muda tuu kina mangi wataanzisha malls,car dealership,gas stations,warehouses,hotels etc pole pole tutafika!
 
...good to hear that,tukishuka huko Soth tutatia timu hapo kula hiyo milenda na visamvu,vipi Chagas maana back home ni sharp ile mbaya kwa mambo ya biashara...vipi hapa mtoni? najua ni swala la muda tuu kina mangi wataanzisha malls,car dealership,gas stations,warehouses,hotels etc pole pole tutafika!

Mtoni mabox kwanza.
 
Ile ngoma ya West Green RD pale Tottenham kuelekea Wood Green Tata Mapasa bado haja achia ? Maana pale ugali na nyama ila sasa kuna siku nimekula pale nyama ya kima .Wazaire bwana .

Kibunango huko Tarime uliambiwa baada ya kumliza Makamba nilipigiliwa misumari kwamba siwezi kwenda hata mjini Musoma ?
Duh!! Haya leo niko Jburg endele kuchonga mie nazunguka Dunia .
 
Sasa sisi wengine ambao tuko huku Imalinyi kwa kwa Marehemu Bibi Kalembwana tulie tu. Kuandika E mail ti mpaka tuende kwa Padiri misheeni!
 
Nilikuwa napitia blog ya michuzi na nikaona tangazo...

Tunapenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha waTanzania wote kwenye Restaurant ya Kitanzania hapa jijini Dallas, Texas.

125 SOUTH CENTRAL EXPRESSWAY RICHARDSON, TX 75080

Okay now, wakuu hawaeleweki wanasema wako mji gani!

Halafu tangazo lina caption ya buffet, lakini kwa mujibu wa baadhi ya customer reviews, kwa mfano hapa, zinaonyesha sio buffet restaurant.

Kingine, tangazo, kama kawaida ya matangazo ya kwa michuzi, ni so mind boggling linaweza kufukuza badala ya kukaribisha wateja. Wanaweka picha ya mhagawa uko tupu huku wakisifia restaurant iliyotulia tuli!

Na badala ya ku-focus kwenye menu wanatangaza kwamba wao ni wasafi. Kuna mtu kawashutumu uchafu? That's the least common demominator ambayo tunategeme iwepo. Kama kuna perception kwamba migahawa yetu huwa ni michafu basi squash that, you don't wanna highlight that by reminding your clientele``hey I'm not nasty !`` Well, are you supposed to be nasty ? Besides, the joint is brand spanking new, off course it's gonna have a squeaky clean floor!

Halafu wali mweupe na nyama ya mchuzi kwa restaurant ya kiswahili is really nothing to write home about. Weka mapicha ya mapochopocho kama pilau, chapati, chai ya hiliki na tangawizi, maharage kidogo, mboga za kibongo ambazo zinaweza kupatikana US (mchicha, maboga), ndizi. Na mwisho wa yote, au awali ya yote, tuwekee bondo!
 
Okay now, wakuu hawaeleweki wanasema wako mji gani!

Halafu tangazo lina caption ya buffet, lakini kwa mujibu wa baadhi ya customer reviews, kwa mfano hapa, zinaonyesha sio buffet restaurant.

Kingine, tangazo, kama kawaida ya matangazo ya kwa michuzi, ni so mind boggling linaweza kufukuza badala ya kukaribisha wateja. Wanaweka picha ya mhagawa uko tupu huku wakisifia restaurant iliyotulia tuli!

Na badala ya ku-focus kwenye menu wanatangaza kwamba wao ni wasafi. Kuna mtu kawashutumu uchafu? That's the least common demominator ambayo tunategeme iwepo. Kama kuna perception kwamba migahawa yetu huwa ni michafu basi squash that, you don't wanna highlight that by reminding your clientele``hey I'm not nasty !`` Well, are you supposed to be nasty ? Besides, the joint is brand spanking new, off course it's gonna have a squeaky clean floor!

Halafu wali mweupe na nyama ya mchuzi kwa restaurant ya kiswahili is really nothing to write home about. Weka mapicha ya mapochopocho kama pilau, chapati, chai ya hiliki na tangawizi, maharage kidogo, mboga za kibongo ambazo zinaweza kupatikana US (mchicha, maboga), ndizi. Na mwisho wa yote, au awali ya yote, tuwekee bondo!

Kuhani,

Richardson, Texas ni kitongoji cha jiji la Dallas, Texas ... argument yako ni sawa na kushangaa Mbezi kuwa part ya jiji la Dar.
 
Kuhani,

Richardson, Texas ni kitongoji cha jiji la Dallas, Texas ... argument yako ni sawa na kushangaa Mbezi kuwa part ya jiji la Dar.

Look here sister brother,

I don't know how long you've been around the way but let me put you onto something that you shoulda known from right off the boat when you got your first mail: Ukiona anwani ya Marekani imeandikwa Richardson, Texas, maana yake kuna mji uko jimbo la Texas unaitwa Richardson. Sio Dallas, sio Houston, sio San Antonia. Ni mji wa Richardson, Texas. Ikiandikwa Kankanke, Illinois, maana yake mji wa Kankanke ndani ya jimbo la Illinois. Sio Chicago, sio nini. Bali Kankakee! Okay now? Sasa ili kuelewa zaidi kinachokuchanganya yabidi uelewe maana ya miji ya pembeni, yaani suburbs. Richardson ni mji pembeni ya mji mkubwa wa Dallas, yaani suburb yake. Got that mister man ? Woman ?

Richardson, Texas, incorporated as a city 1956. It is primarily a residential suburb of Dallas
http://encarta.msn.com/encyclopedia

Richardson, Texas: A city of northeast Texas, a residential and agricultural suburb of Dallas. Population: 99,800. http://answers.com

Richardson is a city in Collin and Dallas Counties in the U.S. state of Texas. As of the 2000 census, the city had a total population of 91,803,
http://en.wikipedia.org/wiki/Richardson,_Texas
 
Back
Top Bottom