chaku msowoya
New Member
- Jun 19, 2011
- 1
- 0
Mambo vipi watanzania wenzangu nadunia kwaujumla mimi ninaswali kwa dunia nzima atakae guswa tushirikiane.Je nivizuri kusikia kwamba matamasha au mashindano makubwa kama ya umiss utalii kua anachoaidiwa mbele ya watu na mamia ya kamera baada ya pale ni hakuna kinachondele haoni chochote naakijaribu kufatili wausika wanakua wakali je nisawa ndugu zangu?