Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Watanzania wenzangu naombeni tuanzishe kampeni ambayo tutaiita " tunakusomesha uje kujenga taifa" iwe kampeni maalumu ya kuchangishana pesa ili tuweze kuwapa mikopo wanafunzi walio kosa mimi nina imani tukipatikana watanzania mil 30 tukaweka kiwango fulani cha pesa atushindwi kutoa mikopo kwa Watanzania wenzetu ambao ni asilimia 0.019% ya Watanzania wote,clouds media tuongozenu kwa jambo hili