Tumedhamiria kuing'oa ccm kama ckuitowesha ktk raman ya tanzania. Uchakachuwaji wamatokeo umeanza na kama hatutopata haki basi ni wito wangu kujaa ktk kila kona ya barabara kuishinikiza ccm kung'ooka, damu ya watanzania ikimwagika ni bendera za ccm zitatumika kufunga nakuta dam hyo. Tumechoka tumechoka. Next tunaingia barabarani. Ccm lazima ing'oke in Jesus might name.