Watanzania tuungane kuidai serikali haki yetu ya kupatiwa matibabu

Kima mdogo

JF-Expert Member
Sep 17, 2011
303
46
Tumevumilia vya kutosha, tumeumia vya kutosha, tumekufa vya kutosha, tumenyanyaswa vya kutosha, NI WAKATI WETU WANANCHI KUIDAI SERIKALI HAKI YA KUTIBIWA KWANI SISI NDIO TULIOIWEKA MADARAKANI ILI ISIMAMIE MAMBO YOTE YANAYOHUSU WANANCH, si haki sisi wananchi tufe kwa kukosa huduma za matibabu kwa sababu zilizo ndani ya uwezo wa serikali, Watanzania hatuna mkataba na madaktari tunamkaba na serikali na SERIKALI YA YETU IMEONYESHA KUTOKUTHAMINI UHAI WA WATANZANIA, hakuna kukubali kufa tena kwa uzembe tumamke tudai haki zetu.
 
mi tayari nimeandaa rungu la hatari, twendeni kwa mzee wa kulialia atueleze kwanini wanacheza na maisha yetu, asipotoa jibu la msingi namtandika rungu 1 la kichwa akili ikae sawa.
 
Enzi za Mwalimu madaktari wanaogoma wangechapwa viboko na madaktari toka Cuba wangeshajazana Tz. Wangekuwa blacklisted hakuna kazi popote na hakuna kutoka nchini. Kumbe tayari mnapewa asilimia 100 ya kusoma na mkianza kazi mnapata mara 2 ya kianzia mshahara cha wahitimu wengine wa shahada ya 1. Mnavyotutesa na kufanya watu wafe kabla muda wao Mungu awalaani nyote. Hamna tofauti na makafiri na wasaliti. Kwa hili mimi nawaona hamna maana kama mnashawishiwa na wanasiasa uchwara acheni kazi nanyie muwe huko ndugu zenu wanakufa mnasingizia mpaka aondolewe Ponda au Nkya who are they kuliko ndugu zenu mnaowaacha wanaoza kwa kukosa huduma zenu baada ya kusomesha. Namwomba Mungu awape ujazo wa fikra na hekima njema.





.
 
Madaktari wanamkataba na serikali si wananchi, na wananchi tunamkataba na serikali si madaktari sasa hapa tunapaswa kuidai serikali haki yetu ya kutibiwa mana tunalipa kodi na hakuna Mtanzania anayepaswa kufa kwa uzembe wa serikali.
 
Enzi za Mwalimu madaktari wanaogoma wangechapwa viboko na madaktari toka Cuba wangeshajazana Tz. Wangekuwa blacklisted hakuna kazi popote na hakuna kutoka nchini. Kumbe tayari mnapewa asilimia 100 ya kusoma na mkianza kazi mnapata mara 2 ya kianzia mshahara cha wahitimu wengine wa shahada ya 1. Mnavyotutesa na kufanya watu wafe kabla muda wao Mungu awalaani nyote. Hamna tofauti na makafiri na wasaliti. Kwa hili mimi nawaona hamna maana kama mnashawishiwa na wanasiasa uchwara acheni kazi nanyie muwe huko ndugu zenu wanakufa mnasingizia mpaka aondolewe Ponda au Nkya who are they kuliko ndugu zenu mnaowaacha wanaoza kwa kukosa huduma zenu baada ya kusomesha. Namwomba Mungu awape ujazo wa fikra na hekima njema. .
we unamkataba na madakari? Toa malalamiko yako kwa serikali.
 
Enzi za Mwalimu madaktari wanaogoma wangechapwa viboko na madaktari toka Cuba wangeshajazana Tz. Wangekuwa blacklisted hakuna kazi popote na hakuna kutoka nchini. Kumbe tayari mnapewa asilimia 100 ya kusoma na mkianza kazi mnapata mara 2 ya kianzia mshahara cha wahitimu wengine wa shahada ya 1. Mnavyotutesa na kufanya watu wafe kabla muda wao Mungu awalaani nyote. Hamna tofauti na makafiri na wasaliti. Kwa hili mimi nawaona hamna maana kama mnashawishiwa na wanasiasa uchwara acheni kazi nanyie muwe huko ndugu zenu wanakufa mnasingizia mpaka aondolewe Ponda au Nkya who are they kuliko ndugu zenu mnaowaacha wanaoza kwa kukosa huduma zenu baada ya kusomesha. Namwomba Mungu awape ujazo wa fikra na hekima njema.





.

Ushauri wa bure tu kwako. Si vyema m2 mzima kama wewe kujidhalilisha hv kwny public, it seems like umelewa na unamaruwe ruwe, hebu pumzika when u come back to ur sense uje uchangie mambo ya maana. Madaktari si wakatili wala wajinga kama unavyofikiri. Post yako inaonyesha we si m1 wa wa2 wanaopata huduma kwny Gov Hospital. Usiwahadae wenzako ndg, hali ni mbaya maeneo ya kazi kwa hawa ndg, hawajadai mshahara tu bali maboresho ya huduma za afya
 
Ushauri wa bure tu kwako. Si vyema m2 mzima kama wewe kujidhalilisha hv kwny public, it seems like umelewa na unamaruwe ruwe, hebu pumzika when u come back to ur sense uje uchangie mambo ya maana. Madaktari si wakatili wala wajinga kama unavyofikiri. Post yako inaonyesha we si m1 wa wa2 wanaopata huduma kwny Gov Hospital. Usiwahadae wenzako ndg, hali ni mbaya maeneo ya kazi kwa hawa ndg, hawajadai mshahara tu bali maboresho ya huduma za afya
Wewe mwenye sense endelea na fikra zako njema. Nadhani uelewa wako ni mdogo kiasi kwamba kubadilishana nawe mawazo ni kujipotezea muda.
Ndefia fo. Aramzade.
 
Hawa wazee wa CCM si ndo hawa hawa wanaodhulumiwa pesa zao za afrika mashariki???
 
Back
Top Bottom