TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wakati umewadia,sababu tunazo,nguvu na uwezo tunao,tunahitaji tuweke nia tu ya kufanya mabadiliko ya kijamii kwa amani kama kawaida yetu.Kwa wapinzani wanatakiwa kuelewa kwamba haiingii akilini kufahamu kwamba serikali hii imepwaya,imeyumba,imefilisi taifa,imefilisika,inafungasha mkanda wananchi,imechanganyikiwa,twende barabarani dunia ione na Mungu apokee maombi ya pamoja.