Niambieni! Mnakubali kuwapa matapeli ushindi?!! ina maana ukiishiwa pesa yakubidi uende kubomoa Bank ukaibe? matumizi yako hayakukuashiria kwamba unaelekea kuishiwa ili ukajenga mikakati halari ya kujipatia pesa?! Kwani matatizo ya Umeme yamekuja Ghafla?!! Mbona hii mitambo ina takribani Mwaka na Kitu na iliingia wakati wa tuna matatizo makubwa! in maana hakuna mikakati ya dharula ambayo ilikwisha chukuliwa?! INAAMANISHA SERIKALI ILIKUWA IMELALA KIASI HIKI!? au IMEFANYA MAKUSUDI KUHARALISHA MITAMBO YA DOWANS?! wanataka kutufanya Watanzania WAPUMBAVU?! MAWAZO YA KITOTO YA JANUARY MAKAMBA YANA NAFASI KWA WATANZANIA WENGI WENYE AKILI?! MNYIKA, INABIDI ISSUE UICHUKULIE SERIOUS usije aibika! Jadiliana na wenzako kabla hujaamua kuzungumza kitu!
BORA TUKAE GIZA KULIKO KUTUFANYA WAPUMBAVU!! SERIKALI MAKAE NA UJINGA WA KUTUFIKISHA HAPA TULIPO MAANA INAONEKANA MMEFIKIA HATUA HAMUWEZI KUFIKIRI TENA!!
JARIBUNI KUWASHA MITAMBO YA DOWANS MUONE!!!!!!!
BORA TUKAE GIZA KULIKO KUTUFANYA WAPUMBAVU!! SERIKALI MAKAE NA UJINGA WA KUTUFIKISHA HAPA TULIPO MAANA INAONEKANA MMEFIKIA HATUA HAMUWEZI KUFIKIRI TENA!!
JARIBUNI KUWASHA MITAMBO YA DOWANS MUONE!!!!!!!