Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
As a matter of fact, kwa wakenya ni zaidi ya ufisadi kunaissue nyingi zinachanganyika. Kwanza bado wanaishi kichuga chuga kutokana na athari za baada ya uchaguzi na hata baada ya kazi ya kuwasuluhisha bado kuna watu hawajakubali matokea na visasi vimejaa humo.
Kwa kuwataka watanzania kuandamana kwa sababu wakenya wameandamana, kwanza watake radhi watanzania kwani matatizo yao sio sawa na Kenya. Ziko bifu za kikabila hapa bongo lakini sio kama Kenya, vyama vyenyewe vinasuguana sio kivile ndio maana hata Dr. Slaa unaona yuko chadema mkewe CCM kenya hili haliwezekani.
Lazima mkubali mfumo wetu wa kupambana na matatizo yetu sio kututaka tubebe kila kitu kutoka nje. Kama ipo haja ya kuandamana tuandamane kivyetu na zipo njia nyingi za kupinga ufisadi si bora tusiwape kura mafisadi au tucopy ya china wakikutia hatiani wanakutoa roho.
Kwa kuwataka watanzania kuandamana kwa sababu wakenya wameandamana, kwanza watake radhi watanzania kwani matatizo yao sio sawa na Kenya. Ziko bifu za kikabila hapa bongo lakini sio kama Kenya, vyama vyenyewe vinasuguana sio kivile ndio maana hata Dr. Slaa unaona yuko chadema mkewe CCM kenya hili haliwezekani.
Lazima mkubali mfumo wetu wa kupambana na matatizo yetu sio kututaka tubebe kila kitu kutoka nje. Kama ipo haja ya kuandamana tuandamane kivyetu na zipo njia nyingi za kupinga ufisadi si bora tusiwape kura mafisadi au tucopy ya china wakikutia hatiani wanakutoa roho.