melimeli maganga pau
Senior Member
- Jun 23, 2012
- 148
- 32
Sisi watanzania tumefanywa kama hatuna uelewa lakini kuna baadhi ya watu ambao hawana uchungu wa nchi hii hususa yule mbunge wa nzega aliyesimama bungeni na kusema MTU YOYOTE MWENYE UCHUNGU NA NCHI HII AENDE HOSPITALI AKAZAE hayo ni maneno ya kejeli kwa watanzania