Gobret
JF-Expert Member
- Jun 11, 2010
- 320
- 88
Tatizo kubwa la Watz ni ukosefu wa elimu, umasikini wa mawazo kwa wenye elimu. Maana ni vigumu sana kumtofautisha msomi na asiyesoma. Msomi ananena na kutenda sawa sawa na asiyepata nafasi hiyo. Tena bora huyu asiye na elimu darasa. Wasomi wamekaa kimya wanatetea vibarua yao. Nchi inaliwa na wachache. Nchi haina ndege lakini raisi ana ndege ya kufanya omba omba kila kukicha.
Sijui niseme hili ni kosa la Mkapa maana ndiye aliyenunua hii ndege na yeye hakutumia na hakuwa omba omba. Sasa huyu ****** ndiyo kaona dili kweli. Akitembeza pua na bakuli. Anaikamua nchi kama kupe. Ndege ya nini ya raisi kwa nchi masikini? Watz. wamekaa kimya, Nchi ipo gizani. Wanachapa usingizi. Vyuo vikuu, vyuo vya kati, shule za sekondari nk kazi za taaluma haziendi kwa maana umeme ni tatizo.
Tunapitisha siku ziende. Wapinzani nao hawayaoni matatizo ya watanzania. Sijui mpaka waambiwe ndiyo wachangamke. Wanafunzi wa vyuo vikuu kama watoto wasio na serikali, maana serikali haiwajali kabisa. Hawapati haki zao stahili. Na wao wamekaa kimya kuhusu suala la umeme, wamekazania fedha zao. Ndio lkn vipi kuhusu elimu wanayokosa???????? Kwa kukosa umeme? Siku hizi walimu wa vyuo vikuu na kati wamerudi kwenye enzi za kufundisha kwa chaki. Maana Mungu kama katulaani vile.
Lkn kumbe ni sisi wenyewe. Hatuwawajibisha hawa viongozi ambao ni mizigo kwa ustawi wa Taifa la Tz. Tunawapa kura tena lukuki, kwa nini wasitutukane? Tuamkeni, Taifa linaangamia. Kila mtu kwa nafasi yake. Tusijali maslahi binafsi. Tutetee ustawi wa Taifa letu.
Achana na Raisi na mke omba omba kama Matonya. Bora wakahamia Dodoma ili waungane na akina Matonya huko. Hatuoni faida ya kuwa na rais mbabaishaji wa aina hii. Mawaziri kama wahudumu wa baa vile. Watz kama wateja wao. Nchi inanuka rushwa kila kona. Wabunge kama machokoraa vile. Kazi kupiga makofi na kudai posho. Hakuna wa kusimamia haki.
Angalia maendeleo ya mikoa fulani fulani ambapo CCM imekita mizizi. Watu wake ni omba omba, wanatembeza bakuli barabarani kama m/kiti wao. Hawana haya.
Viongozi wa dini nao kama hawaamini vile ktk imani yao. Mara waseme Mungu katuchagulia huyu jamaa. Ni chaguo lake asilani. Hah! Nao wameshtuka. Wameingia mkenge. Sasa wanajutia, toba kila kukicha, Mungu naye hatakikuwasikiliza. Maana wamelitumia vibaya jina la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Nyerere baba yetu; naye alituahidi kuwa atatuombea kwa Mungu. Sasa hata yeye katusahau. Maana kuna kila sababu ya kutusahau. Watz tumeacha ile misingi mizuri aliyoijenga na badala yake tunajali maslahi binafsi. Yeye alipigania haki, amani na upendo. Leo chuki, mifarakano ghilba nk ndio misimamo yetu.
Tutasema nini kuhusu umasikini wetu? Jibu: (1)..................................(2).................................(3).............................
Sijui niseme hili ni kosa la Mkapa maana ndiye aliyenunua hii ndege na yeye hakutumia na hakuwa omba omba. Sasa huyu ****** ndiyo kaona dili kweli. Akitembeza pua na bakuli. Anaikamua nchi kama kupe. Ndege ya nini ya raisi kwa nchi masikini? Watz. wamekaa kimya, Nchi ipo gizani. Wanachapa usingizi. Vyuo vikuu, vyuo vya kati, shule za sekondari nk kazi za taaluma haziendi kwa maana umeme ni tatizo.
Tunapitisha siku ziende. Wapinzani nao hawayaoni matatizo ya watanzania. Sijui mpaka waambiwe ndiyo wachangamke. Wanafunzi wa vyuo vikuu kama watoto wasio na serikali, maana serikali haiwajali kabisa. Hawapati haki zao stahili. Na wao wamekaa kimya kuhusu suala la umeme, wamekazania fedha zao. Ndio lkn vipi kuhusu elimu wanayokosa???????? Kwa kukosa umeme? Siku hizi walimu wa vyuo vikuu na kati wamerudi kwenye enzi za kufundisha kwa chaki. Maana Mungu kama katulaani vile.
Lkn kumbe ni sisi wenyewe. Hatuwawajibisha hawa viongozi ambao ni mizigo kwa ustawi wa Taifa la Tz. Tunawapa kura tena lukuki, kwa nini wasitutukane? Tuamkeni, Taifa linaangamia. Kila mtu kwa nafasi yake. Tusijali maslahi binafsi. Tutetee ustawi wa Taifa letu.
Achana na Raisi na mke omba omba kama Matonya. Bora wakahamia Dodoma ili waungane na akina Matonya huko. Hatuoni faida ya kuwa na rais mbabaishaji wa aina hii. Mawaziri kama wahudumu wa baa vile. Watz kama wateja wao. Nchi inanuka rushwa kila kona. Wabunge kama machokoraa vile. Kazi kupiga makofi na kudai posho. Hakuna wa kusimamia haki.
Angalia maendeleo ya mikoa fulani fulani ambapo CCM imekita mizizi. Watu wake ni omba omba, wanatembeza bakuli barabarani kama m/kiti wao. Hawana haya.
Viongozi wa dini nao kama hawaamini vile ktk imani yao. Mara waseme Mungu katuchagulia huyu jamaa. Ni chaguo lake asilani. Hah! Nao wameshtuka. Wameingia mkenge. Sasa wanajutia, toba kila kukicha, Mungu naye hatakikuwasikiliza. Maana wamelitumia vibaya jina la Mungu kwa maslahi yao binafsi.
Nyerere baba yetu; naye alituahidi kuwa atatuombea kwa Mungu. Sasa hata yeye katusahau. Maana kuna kila sababu ya kutusahau. Watz tumeacha ile misingi mizuri aliyoijenga na badala yake tunajali maslahi binafsi. Yeye alipigania haki, amani na upendo. Leo chuki, mifarakano ghilba nk ndio misimamo yetu.
Tutasema nini kuhusu umasikini wetu? Jibu: (1)..................................(2).................................(3).............................