The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
hali ni mbaya sana mitaani. unakuta raia kavaa fulana ya Tusker, hafu katia kofia ya Chagua CCM chagua kikwete.
ukiuliza utaambiwa fulana ya Tusker aliipata baada ya kujibu swali kwa usahihi wakati wa promo ya bia ya Tusker kwenye moja wapo ya baa. ukichimba zaidi utaambiwa kofia aliipata kwa kuhudhuria mkutano wa ccm kwa mtindo wa kupakiwa kwenye malori.
kama haya maisha bora, basi mimi natunga verse.
ukiuliza utaambiwa fulana ya Tusker aliipata baada ya kujibu swali kwa usahihi wakati wa promo ya bia ya Tusker kwenye moja wapo ya baa. ukichimba zaidi utaambiwa kofia aliipata kwa kuhudhuria mkutano wa ccm kwa mtindo wa kupakiwa kwenye malori.
kama haya maisha bora, basi mimi natunga verse.