watanzania nipeni kazi

ok then!
ngoja niendeleze maisha yangu hapa na kusahau ya huko,
hapa naishi vizuri sana lakini kelele za nchi yangu haziishi masikioni mwangu,nitajifunza kuziba masikio yangu na kuendeleza maisha yangu kama kawaida,
kwa taarifa ni kwamba hiyo nchi haina mwenyewe,kwa herini!,..


nakuonea huruma sana mkuu,
endelea na maisha yako huwezi kukubalika kwenye hii system fake hapa tanzania,
kama una uwezo anzisha vita ya msituni tutakuunga mkono manake hapa maji yapo shingoni,
tumepiga kelele kama zako na tulishakata tamaa
ni ushauri tu!
 
natamani kurudi nyumbani
mimi sio mfanya biashara,nimekuwa nikifanya kazi sehemu mbalimbali hapa africa kusini
nimejifunza mambo mengi sana ambayo natamani niyatumie nyumbani,
nitarudi kama mtanipa kazi serikalini hasa kwenye idara ya mambo ya ndani kitengo cha passport,
kwa mtazamo wangu watu wanaofanya kazi hapo idara ya passport hawajasafiri,hawajui nini maana ya halisi ya kitabu kiitwacho passport,
waziri unayehusika nipo tayari kuja kushirikiana na nyie hapo nyumbani tufanye kazi pamoja na kudhibiti kabisa huo mpango unaendelea hapo sasa hivi wa kuwapa passport raia wasio watanzania,
watu wengi wasio raia wa tanzania wanachukua passport kirahisi sana kwa sababu ya watoaji waliopewa mamlaka hawajui wanachokifanya,
narudia tena nipo tayari kuja nyumbani tu-form proccess mpya ya kudhibiti kabisa passport zetu kushushwa thamani.kama africa kusini na botswana na nchi nyingi za kiafrica wameweza kudhiti hata sisi tunaweza,
nitatoa email zangu na no zangu za simu kama kuna aliye tayari kwa hili,

Its very ironic to say that you have learned some skills working in South Africa and that you would like to use some of those skills back home, but still insist on being given a job.

Kama una tajiriba inayohitajika jambo la maana ni uanzishe kampuni inayotoa huduma zinazoambatana na tajiriba yako, ili unufaishe uchumi wenu vilivyo. Waweza kufanikiwa na biashara yako iweze kuwa inachangia pakubwa kuund a nafasi za kazi kwa wenzako ambao hawaafanikiwa kama wewe.

But of course being very lazy and unimaginative you don't want to do dirty work, unataka tu kazi itakayokuwezesha kustahimili mahitaji yako peke yako. Nasikitika watu walio na mentality kama yako ndio wanaotu-hold back kwa kupenda kufyoza damu wenzako. Endelea kuponda raha kwenye uliko, sioni ukichangia pakubwa katika maendeleo ya nchi yenu

BURE KABISA

Asipewe kazi huyu mnafiki
 
Its very ironic to say that you have learned some skills working in South Africa and that you would like to use some of those skills back home, but still insist on being given a job.

Kama una tajiriba inayohitajika jambo la maana ni uanzishe kampuni inayotoa huduma zinazoambatana na tajiriba yako, ili unufaishe uchumi wenu vilivyo. Waweza kufanikiwa na biashara yako iweze kuwa inachangia pakubwa kuund a nafasi za kazi kwa wenzako ambao hawaafanikiwa kama wewe.

But of course being very lazy and unimaginative you don't want to do dirty work, unataka tu kazi itakayokuwezesha kustahimili mahitaji yako peke yako. Nasikitika watu walio na mentality kama yako ndio wanaotu-hold back kwa kupenda kufyoza damu wenzako. Endelea kuponda raha kwenye uliko, sioni ukichangia pakubwa katika maendeleo ya nchi yenu

BURE KABISA

Asipewe kazi huyu mnafiki


kama kweli wewe ni mkenya nafikiri umepotea,
hili ni jukwaa la watanzania,elewa tunatofauti kubwa sisi na ninyi
hakuna hata mtanzania mmoja utamkuta yupo kwenye majukwaa yenu akiongea au kutoa advice za kipuuzi kama hizi,
tunajaribu kwa gharama yoyote kuirekebisha nchi yetu,huu mungano usiwe sababu ya kujuana sana na sisi,hatutaki mzee,
ebu tupeni nafasi kidogo,we need privacy,,pls
 
dah! Kuna cku nilimkuta mburundi kazungukwa na watu anawapigia stori kuhusu Tz lkn haijui vizuri Tz na anadai Kikwete ni coloured ambaye anatokea mkoani Mwanza basi nilicheka halafu nikamuambia mie ni Mtz aise alinywea akabadilisha stori, nikamuonea huruma na nikaamua kumuacha,Mkuu Thabo Mbeki utatuua njaa wabongo wenzio,raia wa nchi nyingine wakiwa na mawazo kama wewe itakuwaje? Kama wana passport za kibongo lkn hawaugombanii uraisi au uongozi wowote nchini kwetu basi haisumbui.Maana binafsi nina uraia wa nchi 5 tofauti. Lkn lengo langu ni kuishi ktk nchi hizo ili nisisumbuliwe sijiingizi kwenye siasa
 
Back
Top Bottom