Watanzania na Ulimbukeni Matumizi ya Simu

Nina Mitsubish Pajero ndogo 1,
Hiace yakuniingizia alfu 40 daily 1,
Mazda Demio ya kubadilishia Pajero 1, zote nalaza msikitini,
lakini nimejibana kwenye kajiupande ka vyumba vi-3 sinza,
Maisha ndo haya, na yanasonga mbele,
Viwanja vyenyewe mjini vishaisha, nani akajenge huko madongo kuinama?
Biashara ya kuamka saa 10 za usiku kila siku kuwahi foleni siziwezi
Hahaha...mkuu hii nimeipenda!!
 
Hii mada imenifurahisha sana na imebeba ujumbe mzito na ukweli mtupu.

Waafrika tunapenda sana mambo ya kujionyesha. Mfano sasa wengi wanapenda kujionyesha na simu za bei mbaya za touch screen. Hizo nyingi zake zinamchukua mtu zaidi ya laki mbili. Wakati matumizi yake ya kawaida ni kupiga na kupokea mawasiliano tu, na mara chache matumizi ya internet. Na hizi simu za touch screen ni very delicate, bora za kawaida zina uimara. Makampuni yanayotengeneza simu ni biashara zaidi badala tunavyofikiria kuwa ni huduma.

Mtu yuko tayari kudunduliza na kujazia kwa kukopa ili awe na mutukaa ya kutesa barabarani wakati anaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga, gari naliweka pale wanapopaki daladala mgambo wanilindie. Gharama za kununua gari nzuri ya kawaida zinatosheleza kujenga kibanda cha vyumba vitatu mtu ukajisikia unametulia na hapo ndio uhangaikie kutafuta kababaji. Nahitaji gari lenye navigator wakati barabara za bongo hazina hata mpangilio wa kusomeka map direction na hata net work yenyewe ni mizengwe.

Tuliwacheka Wazambia kupaki gari kwenye banda la nyasi na kutundika network dish kwenye mti, sasa hayo yametupata. Jamani tuwe na mipangilio ya priority na kisha yanafuata ya kurahisisha maisha. Hii ya mambo ya liability ipo siku tutajutia maana mambo ya kuandaa maisha si kesho bali ni leo, na usipofanya ya muhimu kwa ajili ya asserts ujue kesho haiji hadi utakapojuta kuzaliwa muda tuliochezea pesa kama kesho inakuja na kushuhudia ilishapita bila kujua.
 
assets ni kitu kinacho ongezeka thamani kila siku

mfano nyumba,hisa za makampuni...dhahabu na vito hivi...
majengo ya kupangisha.....

liability ni kitu kinacho pungua thamani kadri siku zinavyo kwenda
mfano magari,nguo,fanicha n.k

uhasibu gani huo?
 
kwa uzoefu wangu huwa siwezi ishi bila cm yenye net.
Nakua kama mfiwa ndani ya dibwi la matatizo
 
uhasibu gani huo?
hapa mods walidelete posts kibao,,,,,nilimuelimisha sana huyu mtu tofauti ya Assets na Liabilities!!!
Imagine gari, fanicha zote anaziita liabilities...lol!!
 
Hii mada imenifurahisha sana na imebeba ujumbe mzito na ukweli mtupu.

Waafrika tunapenda sana mambo ya kujionyesha. Mfano sasa wengi wanapenda kujionyesha na simu za bei mbaya za touch screen. Hizo nyingi zake zinamchukua mtu zaidi ya laki mbili. Wakati matumizi yake ya kawaida ni kupiga na kupokea mawasiliano tu, na mara chache matumizi ya internet. Na hizi simu za touch screen ni very delicate, bora za kawaida zina uimara. Makampuni yanayotengeneza simu ni biashara zaidi badala tunavyofikiria kuwa ni huduma.

Mtu yuko tayari kudunduliza na kujazia kwa kukopa ili awe na mutukaa ya kutesa barabarani wakati anaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga, gari naliweka pale wanapopaki daladala mgambo wanilindie. Gharama za kununua gari nzuri ya kawaida zinatosheleza kujenga kibanda cha vyumba vitatu mtu ukajisikia unametulia na hapo ndio uhangaikie kutafuta kababaji. Nahitaji gari lenye navigator wakati barabara za bongo hazina hata mpangilio wa kusomeka map direction na hata net work yenyewe ni mizengwe.

Tuliwacheka Wazambia kupaki gari kwenye banda la nyasi na kutundika network dish kwenye mti, sasa hayo yametupata. Jamani tuwe na mipangilio ya priority na kisha yanafuata ya kurahisisha maisha. Hii ya mambo ya liability ipo siku tutajutia maana mambo ya kuandaa maisha si kesho bali ni leo, na usipofanya ya muhimu kwa ajili ya asserts ujue kesho haiji hadi utakapojuta kuzaliwa muda tuliochezea pesa kama kesho inakuja na kushuhudia ilishapita bila kujua.

Naona wivu unahusika kwenye comment yako!kama gari nzuri nnayo,nna nyumba 3 kwanin nisiwe na touch screen?are you honest kwamba hata kama ukiwa na idle money,cm nzuri huwez kununua? For me, simu ni priority na hapa nna cm ya lak 6 na sion hasara maana ndo matumiz ya fedha!
 
Duh,simu yangu ukiiona na mambo ninayoyapata uwezi amini.
 
Anamiliki VX V8 anaishi kwenye chumba kimoja Sinza Madukani!
Kweli kabisa Baba Enock! Watanzania wengi wanapenda sana kujionesha kwamba wao ni matawi ya juu kumbe hata kwenye mizizi hawajafika. Ndo maana ufisadi umekithiri sana.
 
Kasimu kangu ka elfu 60 laini mbili kametengenezwa china kameunganishiwa India, kanaitwa tech-com ukikaona kahovyo na bei yake hovyo ila mambo yake android na apps zake inaogopa, sihitaji modem kuunga kwenye compute yangu speed yake ni 4.2mb per second. misimu ya bei mbaya ulimbukeni tu.
 
hapa mods walidelete posts kibao,,,,,nilimuelimisha sana huyu mtu tofauti ya Assets na Liabilities!!!
Imagine gari, fanicha zote anaziita liabilities...lol!!

gari na fanicha anaziita liabilities..kweli alichemka..
 
Ulimbukeni sio kwa watz tu, what about Wahindi kama Sabodo mtu anamiliki racing car kama Lamborghini na Ferrari halafu analiendesha kwenye foleni ya bongo kama sio ulimbukeni na show off....sport car unatikiwa walau unaikimbiza km 120/h chini ya hapo unai under use....
 
mambo mengine ni interest za mtu..

Wakati we unapenda siasa za hapa nchini,yule anapenda soka la Simbs,Yanga na Azam..
Wakati we unafuatilia siasa na mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa,yule anafuatilia za hapa nchini pekee...hana habari na Syria,Yemen wala wapi....

Wakati we unafuatilia na kujihabarisha na habari mbalimbali bila kujali ni michezo,siasa,biashara na uchumi,yule na ligi ya Uingereza,hapo atakutajia wachezaji na vituko vyao vyote,mishahara yao,aina ya magari wanayoendesha,wanachokula,tabia zao kama uchimvi,n.k.
 
ha ha ha,,,Hechigielo.....Safii...hapo hatuelewi kitu kalagabaho

assets ni kitu kinacho ongezeka thamani kila siku

mfano nyumba,hisa za makampuni...dhahabu na vito hivi...
majengo ya kupangisha.....

liability ni kitu kinacho pungua thamani kadri siku zinavyo kwenda
mfano magari,nguo,fanicha n.k
 
Nina Mitsubish Pajero ndogo 1,
Hiace yakuniingizia alfu 40 daily 1,
Mazda Demio ya kubadilishia Pajero 1, zote nalaza msikitini,
lakini nimejibana kwenye kajiupande ka vyumba vi-3 sinza,
Maisha ndo haya, na yanasonga mbele,
Viwanja vyenyewe mjini vishaisha, nani akajenge huko madongo kuinama?
Biashara ya kuamka saa 10 za usiku kila siku kuwahi foleni siziwezi

Bravo mkuu,

Mimi nikisikia mtu anajenga nyumba 100mil miaka nne napata maumivu ya kichwa..

Nunua magari ya biashara @ day yanakupa mchongo Dar

Weka maduka ya biashara ya chakula, chips etc kwenye misongomano ya watu mazenze, posta, sinza @ day unakusanya kama huna akili nzuri

Nunua gari la kukimbizana na wezi wa mjini (i mean wafanyakazi wako) maana Dar wafanyakazi wanajiona wajanja kuibia tajiri wao;

Period..kuna watu utafikiri kama huna nyumba utakufa..
 
eeh kweli unavyoongea lakini pole!
Nadhani kwa safari yako hiyo Basi halikupungua abiria 65, Sidhani kama kweli kwa kila mmoja ulikagua simu yake (kwa mujibu wa maelezo yako)
Sidhani kama kama utakuwa uliwasaidia, katika kusoma post yako nilidhani ulifika sehemu na kuwaelekeza hata namna ya kutumia Calculator au hata kuwarekebishia Majira simu hata ya mmoja kama mfano.

Hata hivyo Primarly simu ni kwa ajili ya kupiga na kupokea vingine ni extra kwa muhitaji so hakuna walichopoteza kwa sababu tangu wananunua hilo ndilo lilikuwa lengo

My Take:
Hukuwa msaada kwao zaidi ni hayo masimango na zaidi kwa sababu waliogushwa ni abiria wa nyumbani kanda ya ziwa!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom