gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,275
Katika kipindi cha dakika 45 cha ITV jana nilimsikia mh. Job Ndugai (Naibu spika) akisema kuwa watanzania tuna tabia ya kuwachagua viongozi wetu leo halafu kesho yake tunaanza kuwachukia! Je hii ni kweli? Na iweje leo tuwapigie kampeni na mara waingiapo madarakani tuwachukie, hii imekaaje wanajamvi?
R.I.P Regia Mtema(Jembe la uhahika!)
R.I.P Regia Mtema(Jembe la uhahika!)