Nchi ya Tanzania imefika pabaya, kwani sasa hakuna kufuata sheria, maana kama walimu tumefuata sheria lakini hukumu ndiyo hii. Sawa tutaenda shuleni na kuendelea na mgomo barafu na hapo ndo kitaeleweka kuwa punda hawezi kulazimishwa kunywa maji.
Nimeamini watawala wanaajenda ya siri kutaka wawarithishe madaraka watoto wao kwani Watoto wa watanzania hawatapata elimu sitahiki. Na uthibitisho wa mgomo mkubwa ni jinsi walimu walivyoonyesha msimamo, hivyo tegemeeni hali mbaya sana kielimu. Asasi, mashirika ya dini na jamii nzima pazeni sauti juu ya udikiteta wa Rais kikwete, Mahakama na polisi vinginevyo Tanzania ya watu mbumbu zaidi inakuja.
Hata huyo jaji aliyepindisha sheria kwa ajili ya kujipendekeza atajibia siku moja uovu huo. Kikwete kuwa Rais isiwe tiketi ya kuwanyanyasa watanzania. Muogope Mungu. Hiv hujiulizi kwamba ukiondoka utakumbukwa kwa lipi. Kikwete hafai kwa ustawi wa Taifa letu. Nimeamini kweli alichakachua ndiyo maana ya matatizo hayo yote.
Watanzania tutubu makosa yetu kwa mwenyezi mungu atusamehe, maana maandiko yanasema Hata uongozi mbaya hutoka kwa Mungu ili kuwakomesha watenda mabaya. Tutafakari tumekosea wapi hata kustahili kuongozwa na mtu huyo asiyefikiri hata athari ya maamuzi yake.
Mahakama ama kweli zimepoteza mwelekeo. Tunachopaswa sasa ni kuchukua uamuzi wowote kwani Mahakama ni chombo binafsi cha Kikwete.
Nimeamini watawala wanaajenda ya siri kutaka wawarithishe madaraka watoto wao kwani Watoto wa watanzania hawatapata elimu sitahiki. Na uthibitisho wa mgomo mkubwa ni jinsi walimu walivyoonyesha msimamo, hivyo tegemeeni hali mbaya sana kielimu. Asasi, mashirika ya dini na jamii nzima pazeni sauti juu ya udikiteta wa Rais kikwete, Mahakama na polisi vinginevyo Tanzania ya watu mbumbu zaidi inakuja.
Hata huyo jaji aliyepindisha sheria kwa ajili ya kujipendekeza atajibia siku moja uovu huo. Kikwete kuwa Rais isiwe tiketi ya kuwanyanyasa watanzania. Muogope Mungu. Hiv hujiulizi kwamba ukiondoka utakumbukwa kwa lipi. Kikwete hafai kwa ustawi wa Taifa letu. Nimeamini kweli alichakachua ndiyo maana ya matatizo hayo yote.
Watanzania tutubu makosa yetu kwa mwenyezi mungu atusamehe, maana maandiko yanasema Hata uongozi mbaya hutoka kwa Mungu ili kuwakomesha watenda mabaya. Tutafakari tumekosea wapi hata kustahili kuongozwa na mtu huyo asiyefikiri hata athari ya maamuzi yake.
Mahakama ama kweli zimepoteza mwelekeo. Tunachopaswa sasa ni kuchukua uamuzi wowote kwani Mahakama ni chombo binafsi cha Kikwete.