Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Sera mbovu za chama chake. Yeye anawezakuwa msafi ila amerithi chama ambacho sera zake hazitekelezeki sasa hayo ndio mavuno
Mkulu,
Mi naungana na wewe kwenye hilo,huwezi kuwa kwenye kundi la MALAYA alafu wewe usiwe mmoja wapo.
Usafi wa JK una walakini.