Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Kuna wanaodhani Tanzania iachane na EAC, mahusiano na nchi tajiri na hata China na India (kila mtu akiwa na mtazamo tofauti-tofauti kwa kila uhusiano), kuna wanaodhani bila uhusiano huo hatuwezi kuendelea kamwe, mtazamo wako ni nini na ni nani tumkaribishe kama 'strategic partner'? Je hata kama baadhi ya nchi hizo zina 'burden of history' na sisi tusahau na kusonga mbele tukishirikiana nao? Mtazamo wangu wa kina utakuja baadaye.
R.I.P Simba wa Vita, Rashid Kawawa.
R.I.P Simba wa Vita, Rashid Kawawa.