Elections 2010 Watanzania kaeni tayari kuwazomea hao mawaziri uchwara wanaokuja katika maeneo yenu.

Magezi

JF-Expert Member
Oct 26, 2008
3,359
692
Kama tulivyofanya siku za hivi karibuni kuwazomea mawaziri uchwara ambao wanakuja ktk vijiji na miji yetu eti kutueleza mafanikio ya serikali ya awamu ya nne.

Nawaomba wananchi na watanzania wotw kwa ujumla kuwa tayari na kuwazomea mawaziri hawa kwa sababu haiwezekani nchi inakopa pesa ktk mabenki binafsi ili iweze kujiendesha ktk bajeti ijayo wakati huo huo mawaziri wanatumia mabilioni eti wanaelezea mafanikio ya kazi ya serikali yo.

Kama mafanikio si wananchi wanaona?? Ya nini mtumie pesa nyingi kiasi hicho kwenda kueleza mlivyofuja pesa za walipa kodi na ujinga wenu huo?
 
Nadhani tunahitaji kutafakari kidogo juu ya hili, hivi kama kuna mazuri yametendeka, watu wnahitaji kuambiwa? si waachiwe waone wenyewe? Ina maana hakuna matumizi mengine ya fedha zetu sisi walipa kodi? Jamani hebu jengeni hizo nyumba za walimu badala ya kwenda kueleza yaliyofanyika ambayo hayaonekani. Tukumbuke kwamba HAKI huwa haiombwi bali huchukuliwa!!
 
Nadhani tunahitaji kutafakari kidogo juu ya hili, hivi kama kuna mazuri yametendeka, watu wnahitaji kuambiwa? si waachiwe waone wenyewe? Ina maana hakuna matumizi mengine ya fedha zetu sisi walipa kodi? Jamani hebu jengeni hizo nyumba za walimu badala ya kwenda kueleza yaliyofanyika ambayo hayaonekani. Tukumbuke kwamba HAKI huwa haiombwi bali huchukuliwa!!

Nakwambia serikali ya CCM imejaa wachekeshaji kuanzia kwa rais mwenyewe, iweje utumie mabilioni ya shilingi eti unakwenda kuwaambia wananchi maendeleo uliyowapatia; kwani wao hawaoni?? Mbona sijasikia mtu kama waziri magufuli anawasi wasi wa kukosa ubunge.....si kwa sababu wananchi wanajua kawafanyia nini ndo maana watamchagua tu??

Wafanyakazi wa umma mnasema hata walie miaka 8 hamtaongeza mshahara, wakina mama wazazi wanakaa chini, watoto wa shule wanakaa chini, baadhi ya shule za msingi ni chini ya mti, je, hayo ndo maendeleo ya serikali ya awamu ya nne mnaenda kawaeleza wananchi??
 
Wana motto inayosema "Mlitutuma mkatuchagua tumefanya tunarudi kuwasikiliza" yaani nilipoona hili nilitamani kucheka kweli huu sijui usanii wa aina gani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom