Salaam wanaKijiji wenzangu,
Mwanzo wakati blog zinaanza hapa Bongo nilikuwa siko interest kabisa,baadae nikaanza kuwa na interest taratibu baada ya kusimuliwa sana na watu habari mbalimbali zinavyotolewa humo.
Mwanzo blog moja tu ndio ilikuwa maarufu na inajulikana sana lakini baadae zikafumuka blog mbali mbali na nyingi sana,na kila mtu sasa akijiona wamjini kidogo na anacamera tu anaanzisha blog yake,
mimi kwa uelewa wangu ambao naomba wanakijiji mnieleweshe kama sielewi,
mimi nilivyoielewa hii blog nikama gazeti(mtandao gazeti)gazeti ni chombo cha kutoa habari za jamii kwa wanajamii,ziwe za kisiasa,burudani,michezo na kadhalika.
sasa cha ajabu kuna blog zingine ambazo mimi ninahisi zinapoteza muelekeo,utakuta mtu anafungua blog then anatoa mambo na mume wake wamemfanyia nini usiku,au mume wake kamletea zawadi gani,au kama anamchukia mtu anamtoa picha yake then anaachia comment za kumchafua uyo mtu zionekane ili mradi tu amuabishe.
Kinachonikera zaidi kama ile story ya miss Tz kubakwa,magezti na vyombo vingine vya habari vilitoa kuwa kuna miss TZ kabakwa lakini hawakutaja jina,lakini cha kushangaza kuna blog ya mdada kaolewa na mzungu juzi juzi basi alifanya mambo ya ajabu na kutojua maana ya habari ya kama ubakwaji uwa hawatoi majina wala picha za wabakwaji ili kutomuumiza muathirika kisaikolojia,basi yeye katoa kabisa na picha na victim na jina kamilli,na kuacha watu wakitukana na kukomenti pasipo na pazia.(sijali kama story aliyebakwa ni ya kutengeneza au la je wewe ni nani kutaja jina na kumtoa muathirika wa kubakwa jina hadi sura,je unajua uandishi wa habari ni nini na mipaka yake.
kuna vitu vingi sana nafikiri havifahi kuwekwa kwenye blog,nafikiri mambo yako personal yafaa kuwa kwenye Facebook,myspace,Hi5,Twitter nk.
mwisho wa siku unatafuta Haters pasipo na sababu yoyote.
Kama kuna mtu anamawazo tofauti na Blog naomba aniambie
Asanteni
Mwanzo wakati blog zinaanza hapa Bongo nilikuwa siko interest kabisa,baadae nikaanza kuwa na interest taratibu baada ya kusimuliwa sana na watu habari mbalimbali zinavyotolewa humo.
Mwanzo blog moja tu ndio ilikuwa maarufu na inajulikana sana lakini baadae zikafumuka blog mbali mbali na nyingi sana,na kila mtu sasa akijiona wamjini kidogo na anacamera tu anaanzisha blog yake,
mimi kwa uelewa wangu ambao naomba wanakijiji mnieleweshe kama sielewi,
mimi nilivyoielewa hii blog nikama gazeti(mtandao gazeti)gazeti ni chombo cha kutoa habari za jamii kwa wanajamii,ziwe za kisiasa,burudani,michezo na kadhalika.
sasa cha ajabu kuna blog zingine ambazo mimi ninahisi zinapoteza muelekeo,utakuta mtu anafungua blog then anatoa mambo na mume wake wamemfanyia nini usiku,au mume wake kamletea zawadi gani,au kama anamchukia mtu anamtoa picha yake then anaachia comment za kumchafua uyo mtu zionekane ili mradi tu amuabishe.
Kinachonikera zaidi kama ile story ya miss Tz kubakwa,magezti na vyombo vingine vya habari vilitoa kuwa kuna miss TZ kabakwa lakini hawakutaja jina,lakini cha kushangaza kuna blog ya mdada kaolewa na mzungu juzi juzi basi alifanya mambo ya ajabu na kutojua maana ya habari ya kama ubakwaji uwa hawatoi majina wala picha za wabakwaji ili kutomuumiza muathirika kisaikolojia,basi yeye katoa kabisa na picha na victim na jina kamilli,na kuacha watu wakitukana na kukomenti pasipo na pazia.(sijali kama story aliyebakwa ni ya kutengeneza au la je wewe ni nani kutaja jina na kumtoa muathirika wa kubakwa jina hadi sura,je unajua uandishi wa habari ni nini na mipaka yake.
kuna vitu vingi sana nafikiri havifahi kuwekwa kwenye blog,nafikiri mambo yako personal yafaa kuwa kwenye Facebook,myspace,Hi5,Twitter nk.
mwisho wa siku unatafuta Haters pasipo na sababu yoyote.
Kama kuna mtu anamawazo tofauti na Blog naomba aniambie
Asanteni