Watanzania hawana adabu kumsema Rais!

Aaah, mbona na wewe jina lako halina uhakika? weka jina full plus picha. Halafu mwenzetu ni mtu wa wapi? Mkenya weye? Mbona wasema watanzania hawana adabu ili hali na wewe ni Mtz? Ina maana na wewe ni kama hao unaowasema? Nayaunga mkono mawazo yako, but it seems hujatulia.

Achana naye ni walewale tu!!!!!!!!!!!!
 
Badilisha kichwa cha habari kwenye ujumbe wako pamoja na kuwa hapa jf ni dare to talk hili neno adabu limetumika ndivyo sivyo, nina imani jf wachangiaji wote wako safi isipokuwa wewe ndiyo huna adabu. hebu jiulize rais anakwenda Jamika kwenda kuonana na mwanamziki kama aliyemwacha nchini kwake na kaenda na ujumbe mkubwa kwa fedha za walala hoi, huu siyo uharibifu wa mali za umma? ILI TUENDELEE NCHI HII WATU WENYE MAWAZO BUTU KAMA YA KWAKO, TUNATAKIWA TUWAPOTEZEE
 
Badilisha kichwa cha habari kwenye ujumbe wako pamoja na kuwa hapa jf ni dare to talk hili neno adabu limetumika ndivyo sivyo, nina imani jf wachangiaji wote wako safi isipokuwa wewe ndiyo huna adabu. hebu jiulize rais anakwenda Jamika kwenda kuonana na mwanamziki kama aliyemwacha nchini kwake na kaenda na ujumbe mkubwa kwa fedha za walala hoi, huu siyo uharibifu wa mali za umma? ILI TUENDELEE NCHI HII WATU WENYE MAWAZO BUTU KAMA YA KWAKO, TUNATAKIWA TUWAPOTEZEE


Kula tano,

Rais huyu anayegida na kubweda ana adabu gani kwa watanzania wanaokufa na vumbi na jua kali?
 
kaka/dada samahani mie ni mtanzania mwenyeji wa iringa kihesa semtema kribu na chuo kikuu tumaini, mkazi wa maeneo hayo natoka familia ya wastani kwa kipato wenye uwezo wa juu kufikiri na wenye uwezo wa kuthubutu kufanya mambo yasiyo tarajiwa. siogopi yajayo nachukia yaliyopita mabaya kwangu siku ni leo na bora kwa kuijadili kesho jana imekwenda, majungu si mtaji ndo tabia yangu nachukizwwa na wadandia hoja, kwetu wakubwa wanaheshimiwa na msingi wa dini yangu hauniruhusu kumsema mkuu wa watu wangu, ni msingi huo unanituma kuwaheshimu watumuishi wa Mungu Mfalme ni mtumishi wa Mungu na upanga na haubebi bure ni haja yangu kumheshimu atanikirimia na ni adhabu kwangu nikimletea jeuri.
tusihoji uraia tuangalie ukweli wa mantiki.

Mkuu wa watu wako? Yupi pilato au pengo? Mbona hao wakuu wa watu wako ndio walimuua Bwana Yesu? Ungali ukishikamana nao? Tia akili wanaheshimika ikiwa tu... Na kamwe sii vinginevyo. Sidhani kama unafahamu mkuu hasa wa kweli na stahiki Bwana Yesu aliwaita mbweha wakati fulani
 
Ili kupata adabu, unahitaji na wewe uwe na adabu. Pale unapowakosea watu adabu, basi hustahili kamwe kupewa adabu, hasa kama wewe u mkubwa, kiongozi, mzazi na kadhalika. Kwanza waliokpo chini yako watasikitika, watakata, tamaa, watakasirika na hatimaye watakukosea adabu. Hivyo ndivyo hali ilivyo. Kinyume cha hapo ni utumwa tu.
 
kweli matahira ni wengi nchi hiii. unatukana watanzania duuu kweli we taaahila kweli!!
 
Unamawazo yanayoendana na ukweli,lakini umekosa hekima,busara na lugha nzuri ya kuelezea hoja yako.Nakushauri upate kwanza elimu ya tabia kwa jamaa zako wa karibu.
 
Mtoa mada naona ni kama "Makamba type".
Kipimo cha busara ya mtu utaiona kwenye mambo asiyo yapenda na jinsi anavyoweza kujieleza wakati brain imekuwa tortured. Huwezi kuwaambia watu wazima wenzako hawana adabu. Kwanza huo ni msemo wa kitoto ambao hutumiwa kuwaonya watoto waliokiuka maadili, huwa sio sahihi kumwambia mtu mzima amekosa adabu. Kumfikiria mwenzako hana adabu ni kutokuwa na adabu.

Ushauri: Makosa mawili hayafanyi moja kuwa sahihi, ukitaka mawazo mazuri usichokoze watu katika mazingira ya kukera kama ulivyofanya.
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Utajiri wa vibwengo ndani ya JF!
 
Wewe kibaraka unapata wapi ujasiri wa kuwafunga watu midomo?! Nchi inazama watu wakae kimya? Huoni political vacuum iliyopo kwa sasa hapa nchini? Wenye upeo wa kuona na kuongoza wanatoa angalizo ili Nchi isielekee kuzimu kama tulivyoona kwa nchi jirani. Inaonekana wewe ni mmoja wale wanaoshiriki kuzamisha nchi kwa kujiita wanamtandao! Upuuzi mtu, falsafa ya mtandao usio na tija ni upumbavu, matokeo yake ni kupeana madaraka bila kuwa na vigezo halali vya kuongoza. Tumeona mifano hai ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, ma-RC, mawaziri n.k ambao hawawezi hata kuelezea mfumo wa serikali unavyofanya kazi. Unategema nchi itaendelea kwa majungu na kulipiza visasi? Muda umefika sasa ambapo watanzania watasemsa tumechoka na siasa mbovu za wanamtandao!
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu


Mwingine huyu !!!! Utawaona wataibuka wakina Mzindakaya wengi tu sana , Hii tabia ya kumsifu Kikwete kwenye nyakati hizi za maandalizi ya uchaguzi naona inakuwa kama fashion ya kujaribu kumshawishi RAIS awakumbukeni..!!Kwa kweli watu wa jinsi hii wanakatisha tamaa sana !!!!
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Mi nadhani wewe ni JUHA namba moja, na kwamba umetumwa hapa na hao unaojipendekeza kwao haswa,,, sijui unatafuta nafasi ya kuendea kubembea JAMAICA!! LOL!! hatukuhutaji hapa Jf
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Ndugu, unamaanisha watanzania-na wewe ukiwa mmojawapo-kwa sababu una sifa za kuwa mtanzania au unamaanisha "wana JF"-kwa sababu hata wewe una sifa za kuwa mwana JF?? Tena uwatake radhi watanzania kwa kuwaambia hawana adabu. Ni vizuri ukatofautisha kati ya kusoma na kuelimika.
 
uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu
falesy ulikuwa na hoja nzuri, ukashindwa kuijenga vizuri na bado unashindwa kuitetea na haswa ulivyoimalizia kwa neno ulilomaliza nalo, unaonyesha na wewe ni hivyo!.
 
falesy
Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 41
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 3 Posts

I need not say more.
 
Waambie wana blog, maana sisi tukisema tumetumwa
Sasa wewe MkamaP ulikuwa na sababu gani hasa ya kuanzisha pen name mpya ulikueleza upupu wako? Falsey a.k.a MkamaP YOU ARE A PURE MENTAL CASE. Kukuonyesha WTZ wana adabu kwa post hii ulistahili matusi ya nguoni lakini kwa sababu watu wanajiheshimu wamekuonya na kukushauri tu. Huyo Makamba wako adabu ikowapi kuwaita wazee wenzie wehu? Huyo Rais wako mchovu adabu iko wapi kudai watu wanaomkosoa wana chuki na wivu. Kapimwe akili yako kama Rais wako alivyojua ana matatizo ya akili akaamua kupimwa.
 
Huyu mheshimiwa inaelelkea anaota, Tanzania wala sio miongoni mwa nchi zenye uhuru wa habari. Ukimsema vibaya mkubwa kinachofuata unajua mwenyewe
 
Back
Top Bottom