Natafakari sana najiuliza watanzani tumelithishwa woga hata katika haki zetu za msingi tumebaki kuwa mabubu na wanyonge tnao lilia ndani kila mmoja ukimtizama ni kama anasubiri mwenzake a aanze naye afuatie maisha yamekuwa ghari watanznia kimya mafisadi wametukombaaa weeee watanznia holaaaa masikini kimya gizani kimya nani wa kuliokoa taifa hili jamani kondoo wake dhaifu na wamekondeana hivi