rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
watanzania watatu wanaoshikiliwa hapa africa kusini wanatafutwa kwa udi na uvumba na serikali ya
rwanda ili kuwauwa kupoteza ushahidi,
watanzania hao walitumwa na mfanyabiashara maarufu hapa johannesburg kumwua generali wa kirwanda
aliyekimbia rwanda na kupewa hifadhi hapa,
tunafatilia kwa makini
rwanda ili kuwauwa kupoteza ushahidi,
watanzania hao walitumwa na mfanyabiashara maarufu hapa johannesburg kumwua generali wa kirwanda
aliyekimbia rwanda na kupewa hifadhi hapa,
tunafatilia kwa makini