Naskitika saana nikiona mabadiliko ya kimazingira na ya kisayansi na teknologia Tanznia bado tumeshikilia elimu aliyo tupakazia nayo bwana wetu mkoloni mwingereza watoto nasema wakti mwingne wana haki ya kuandika viduku na bongo fraver kwenye mitihani yao ya Tanzania ngumu jamani lkn ugumu wake uko kwenye makaratasi huku kwenye really life hakuna uhusiano na hiyo elimu tunayo isoma ndio maana tuna Dr. wengi na ma prfesa lkn nchi wanipeleka chooni.....
hiv kuna haja gani ya kuendelea kusoma PAI ,22/7 sisi watanzania niambieni ni sehm gani ya maisha una po kuta application ya logalithm ni upuuzi lkn nani?..... wenye mamlka wamelala usingizi fofo wala hata hawaoni(waziri,raisi)??? Na sijui huyu shukru kawambwa kweli alistahili kuwa waziri wa elimu basi tu kikwete na vimbwenga vya serikali yake
hiv kuna haja gani ya kuendelea kusoma PAI ,22/7 sisi watanzania niambieni ni sehm gani ya maisha una po kuta application ya logalithm ni upuuzi lkn nani?..... wenye mamlka wamelala usingizi fofo wala hata hawaoni(waziri,raisi)??? Na sijui huyu shukru kawambwa kweli alistahili kuwa waziri wa elimu basi tu kikwete na vimbwenga vya serikali yake