jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
JK: Watanzania eh
WTZ: Eh
JK: Mimi Rais wenu!
WTZ: eh!
JK: Sina nguvu tena!
WTZ: Eh
JK: Ya kukamata mafisadi
WTZ: Eh
JK: Mafisadi ni wajanja
WTZ: Eh
JK: Wamekomba Benki Kuu Watoto wanaendelea kuitia Eh kwa shauku!
JK: Wamelangua na Rada
Wameiba Meremeta
Wamechota nayo EPA
Na makampuni mengine
Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anavyojua anaanza kutimkia kwake na kufanya mambo yake kuokoa maisha yake na ya familia yake
WTZ: Eh
JK: Mimi Rais wenu!
WTZ: eh!
JK: Sina nguvu tena!
WTZ: Eh
JK: Ya kukamata mafisadi
WTZ: Eh
JK: Mafisadi ni wajanja
WTZ: Eh
JK: Wamekomba Benki Kuu Watoto wanaendelea kuitia Eh kwa shauku!
JK: Wamelangua na Rada
Wameiba Meremeta
Wamechota nayo EPA
Na makampuni mengine
Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anavyojua anaanza kutimkia kwake na kufanya mambo yake kuokoa maisha yake na ya familia yake