Wangoni a.k.a Wagoni mpo?
Utakuwa ngosha wewe.
Wangoni a.k.a Wagoni mpo?
<br />Sikutaka kuirudisha hii topic, lakini juzi nikamuomba rafiki yangu Mapunda aniletee binti wa kumsaidia mama kazi za ndani na pesa nikampa.Kuja kumfikisha binti,mama akaniuliza mbona huyu binti amenawiri hivi nina mashaka hebu tumpeleke hospitali,kufika kwa daktari,akaniambia mbona wameshammimba huyu,nikakubali nikasema watani zangu hongera.
<br />Wangoni bwana,si wa kike wala wakiume kwao dili kuduana tu pesa baadaye,pengine ndo maana wafupi kamananiii za wahehe na wagogo.
Mtani Ngosha vipi! nilikuwa napita tu naenda nyumbi hii