chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Jamani watangazaji wetu kuna tofauti ya kimatamshi kati ya vifupi vya maneno vilivyoandikwa kwa kutenganishwa na nukta na vile visivyotenganishwa na nukta. Mbona mnasoma bila kujali kama kuna tofauti.
kwa mfano; UNO na U.N.O au B.A.E na BAE
Jifunzi vitu vya msingi katika taaruma yenu
kwa mfano; UNO na U.N.O au B.A.E na BAE
Jifunzi vitu vya msingi katika taaruma yenu