Imekua ni "common experience" kwa watangazaji wa clouds fm kuonyesha waziwazi ushabiki wa kisiasa kwa kuwakashifu viongozi,sera,misimamo na hoja ya vyama pinzani bila kujali kuwa kituo chao cha redio kinasikilizwa na watanzania wa itikadi tofauti ya vyama,sina hakika kama wasimamizi wao wanasimamia kwa kuzingatia ethics za kazi au ndio tatizo la kuajiri watu kijanjajanja{people with no required profession}