Watangazaji Radio One wahamia Clouds FM!

Watangazaji wa Radio one na ITV Bi Regina Mwalekwa na Milad Ayo wameacha kazi na kuna tetesi wanahamia CLOUDS Fm.

Pamwe na kwamba ni thread ya mwaka 2010,nitachangia. Kwa uzoefu na uelewa wangu, Radio One ni kama shule fulani ya kutengeneza watangazaji mahiri. Wengi hutoka pale na kwenda kwenye mashirika makubwa ya habari. Mifano ni Flora Nducha (BBC), Salim Kikeke (DW), Suzanne Mungi (DW) kabla hajaitwa TBC, Abdallah Majura, Basil Mbakile etc, lakini hili la kutoka redio one ambayo ni reputable na kwenda Clouds mh! Mwalekwa alipewa hadhi ya ujumbe katika baraza la Kiswahili kwa kuendesha kipindi cha Kiswahili cha radio one ambacho hurushwa kila Jumamosi, hope ujumbe huo ashanyang'anywa kufikia sasa kwa sababu kile kilichompa ujumbe huo hakifanyi kwa sasa.
Otherwise kubadili mwajiri ni suala la kawaida
 
mtakua lini???', kuna haja gani ya kuleta post ya 2010 ktk zama hizi 2012????, by the way; workers to shift from one organisation to another it shows how skillful, multfunction & mobility they are.
 
Hata mimi jana nilikua nasikiliza Clouds Redio nilishangaa kusikia sauti ya Bi Regina Mwalekwa nikahisi nasikiza Redio One au? Anyway wanatafuta maslahi!
 
Bujanga Izengo Kadago ilikimbilia SUA tv longtime, uncle J yuko abood media....................
ITV na radio one kunani paleeeeh, Hamis Damumbaya naye kahamia MlimaniTV long time
 
Tatizo Clouds wanajitahidi kuzoa watangangaji wa radio One lakini wengi wakienda wanachemsha bora walivyokuwa radio one
 
Back
Top Bottom