Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,529
- 12,366
Kuna tetesi nazipata hapa nilipo kuwa huenda wafanyakazi wa ile radio inayosemekana ya Mh. Huenda wakagoma baada ya uvumilivu wa kusubiria mshahara wao wa mwezi Nov 2011 kutozaa matunda!
Habari za ndani zinasema Meneja na mhasibu wa Radio hiyo jana waliwaahidi wafanyakazi kuwalipa leo lakini wameshindwa kutekeleza ahadi hiyo kabisa na hadi ss hawapatikani hewani kabisa kitu ambacho kinaweza kupelekea wafanyakazi hao kugomea kazi!
My Take:
Uongozi wa hiyo media wanaanza kudidimiza juhudi za mzee kutakakujisafisha!
Source: chanzo cha ndani huko huko-Radio five!
Habari za ndani zinasema Meneja na mhasibu wa Radio hiyo jana waliwaahidi wafanyakazi kuwalipa leo lakini wameshindwa kutekeleza ahadi hiyo kabisa na hadi ss hawapatikani hewani kabisa kitu ambacho kinaweza kupelekea wafanyakazi hao kugomea kazi!
My Take:
Uongozi wa hiyo media wanaanza kudidimiza juhudi za mzee kutakakujisafisha!
Source: chanzo cha ndani huko huko-Radio five!