TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Hawa ndio watangazaji wa mpira bora watatu Tanzania kati ya 1985-2011.
1.Sued Mwinyi
2.Jesse John
3.Hamed Jongo
Vigezo nilivyotumia
1. Kutochosha wasikilizaji.
2. kutokuonyesha upendeleo wa timu wakati wa kuzijadili kipindi cha mapumziko.
3.Kuonyesha uzalendo wa hali ya juu wakati wa mechi za kimataifa kwa vilabu au timu za taifa za Tanzania.
Ni maoni yangu binafsi. Wewe orodha yako ikoje?
1.Sued Mwinyi
2.Jesse John
3.Hamed Jongo
Vigezo nilivyotumia
1. Kutochosha wasikilizaji.
2. kutokuonyesha upendeleo wa timu wakati wa kuzijadili kipindi cha mapumziko.
3.Kuonyesha uzalendo wa hali ya juu wakati wa mechi za kimataifa kwa vilabu au timu za taifa za Tanzania.
Ni maoni yangu binafsi. Wewe orodha yako ikoje?