Watanganyika wenzetu wanavyoteseka Zanzibar

Zenji labda uwape tahadhari ya makalio yao hao wabara wenzenu lakini hakuna tabia hizo kwa wazanzbari,hatujafika huko kutokana na utamaduni zetu,hakuna asojua.
,,,,,@ nilipo BOLD,,,Mmmh kaka hio sio ZENJI ya leo,leo hii hakuna watu tapeli ka watoto wa hapo DARAJANI,kuna hao jamaa wanajifanya madalali wa kuuza magari,ukiingia vibaya tu wanakuumiza,tena nawapa tahadhari ndugu zangu BARA huko,usije ukathubutu ku deal na hao watu,unless uhakikishe kila kitu kipo mezani,yaani ka ni gari unaliona,na hakikisha unaondoka zenji baada ya kuwa umeshalipakia kwenye meli,na meli IMESHAONDOKA na we ndo uondoke,kuna jamaa anaitwa SAIDI (al maarufu KIBAHOLA),na mwenzake KHAMIS BAPE,ni balaa,wameliza watu miliioni zaidi ya 100,huko bara na hapo kisiwani,ZENJI IMEBADIKA kabisa.
 
Ni vizuri kujua chanzo cha malalamiko ma kusudio la pande zoote mbili. Nasikitika tu kuona jambo hili limeletwa katika suala la muungano.Kama sheria imevunjwa ni kufuatilia suala kisheria. Wenye akili timamu wanafahamu kinachoendelea.
 
Ghibuu, acha uongo, sisi Zanzibar tunaijua kuliko unavyodhani wewe, usije ukashangaa tunaonana kila siku, Walio chomewa wana nyumba imara na maduka imara, na wengine wemewaajiri Wazanzibari, na maduka yenyewe ni ya Kitalii, Tourism Souvernir na wengi wa Wazanzibari isipokuwa wahindi ndio wenye maduka ya namna hii, wengi ni Wakenya, Wabara na Wahindi, sawa inawezekana yalikuwepo pia mabanda madogo, lakini eneo la Mnarani kulikuwa na makaazi.
Unajua history ya Kijiji cha wabara cha KIBANDA UGALI Kiwengwa? alivunja Rais Karume mwaka 2005 na Kujenga Hoteli 2 moja yake, Sultan Sands Hotel, na hekalu la mkewe Mama Shadya, eti alishauriwa na ZATI shirikisho la wawekezaji wa Kitalii ambayo mwenyekiti wake ni Simai Said Mohamed, mdogo wake Hassan Kichwa, wamiliki ya Mercury Restaurant hapo Bandarini, cha ajabu huyo Simai amepewa Uwakilishi, na usiniambie kuwa hii familia ni safi ya Kina Simai, ila nasemaje, kulikuwepo wawekezaji wengi wa bara hapo Kibanda ugali, walitumia pesa nyingi sana kujenga nyumba za maana na biashara kubwa kubwa za Kitalii, siku moja bila taarifa, saa kumi usiku, Greda au makatapila yalifika na kuanza kubinua kila nyumba bila hata kuamsha watu, walitoka wanawake na watoto uchi wakijiuliza ni mwisho wa dunia? lakini badala ya Jeshi tiifu kwa Rais wa Zanzibar la JKU liliwacheka tu na kuwaamuru wasionekane popote maeneo ya karibu. pia miezi 3 iliopita unakumbuka Kendwa? maduka yote na minisupermarket nyingi za wabara zilizostawi, ilitoka amri kwa viongozi wa Juu zivunjwe mara moja, mbona za wanzibari hazivunjwi?

Umenichekesha kweli ingawa huwa wananiudhi sana hawa watu wanaojiita wazazibari
 
Kama mnataka kuwachomea wapemba maduka chomeni tu mnasubiri nini nyie magovi. Tumesema muungano is enough tunamaanisha hivyo haijalishi nani atapoteza mali au roho binafsi niko tayari kupoteza roho kwa kupigania zanzibar yangu niipendayo.

Wewe gaidi tu wala huna lolote. Dawa yenu ipo kwa Obama. Naona umeshituka kumtaja Obama. Si umemsikia kiongozi wako? Yuko wapi sasa? Kwa taarifa yenu hatutawapa uhuru mpaka tutakapopenda sisi. Hamtuwezi kwa vyovyote ila matusi na upuuzi tu. Nyie mtaaendelea kuwa kakoloni ketu tu mpaka mwisho wa dunia.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom