Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 339
- 118
Mkuu unaandika uwongo uwongo mimi niko zanzibar hilo uloandika lako mwenyewe hakuna kitu hicho zanzibar. Unachochea chuki tu huna lolote mzushi mkubwa .kama ni vile usemavyo wewe nambie mbara gani kapigwa na wanatembea bila kuulizwa chochote WAZANZIBAR WANATAKA dola ya zanzibar bila muungano huu hawana shida na watanganyika,wakenya,wataliana au waarabu watu wanataka nchi yao 2 basi
acha zengwe ww, media zote local na za nje zinariport vurugu za zanzibar pamoja na madai yenu lakini bado hatuwaelewi chuki ya wakristo na watanganyika walioko zanzibar ina uhucano gani na madai yenu
wazenj nyie malimbukeni udini umewajaa, sisi pia tuna watu huko wanatupa updates as they happen..mkuu nahic unaishi kaskazini pemba hauko unguja (mjini magharibi)