DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Nimejaribu kufwatiria siasa za Zanzibar kwenye Mzarendo.net mtandao wa kijamii wa siasa za zanzibar nilicho gundua ni kwamba hawa watu hawajielewi, wamelewa na pombe ya SUKI hata uwezo wao wa kuchambua hoja ni mdogo sanaa ! Hebu jaribuni kutembelea kwenye hiyo web yao umjionee madudu , plz naomba msaada wenu wa kuwasidia hawa viraza.