Watanganyika hivi wazanzibr tunawangangania nini??

wazenji hawana faida yoyote kwetu-bora ingekuwa tunawatumia kama watumwa watufanyie kazi-
Sisi wenyewe ndio tumekuwa watumwa wa wazungu na mafisadi.
Na hatujakoma sasa tutakuwa watumwa wa mchina pia.

Au utajiri wetu, rasilimali zetu tunawagawia nani? Tena tunajituma kweli ikifika jioni jamaa wanaondoka na wanyama pori kwa ndege za kijeshi, makontena ya nyara yanaondoka kama utani, dhahabu, gesi...hata akina Richmond/DOWANS wanashinda kesi na tuwalipe fidia baada ya kuwa "wameshatu"cameroon".

Je mtumwa anataka mtumwa? Mkuu ET umenifurahisha kweli!

Hili limuungano limetuvuruga akili kweli. Sisi tunapiga kelele, mayowe...wajanja wanajaza "vijisenti" mifukoni.
 
wazenji hawana faida yoyote kwetu-bora ingekuwa tunawatumia kama watumwa watufanyie kazi-
Kumbe wewe ETeller hujui kama Wa Tanganyika tulishawahi kufanywa watumwa kule Unguja na Pemba Zanzibar...wazee wetu wa KiTanganyika walikuwa wanafanya kazi za kulima katika mashamba ya MI karafuu na Minazi na ukuli katika bandari zao kule Visiwani....Wa Zanzibari waliendelea na biashara hiyo hadi miaka ya 90s wakati dada zetu wa kitanganyika walikuwa wamebakia kule kufanya kazi za majumbani (house keeping girl) na unyonge wao wote basi walipewa hadi nick names walikuwa wanaitwa maTX na vijana wa kule zenji:peep:

Wa Zanzibari ni wafanyabiashara wa mwanzo kuja katika mikoa yetu ya Tanganyika na kutuletea vitu vingi tu kama Redio na nguo za kuvaa na kutupelekea dada zetu katika ma guest house :cool2:
 
Mmelogwa nyie,, na mchawi wenu Nyerere yupo Butiama....

Tatizo lenu VIFUUTUNDU mnaona upeo wa pua zenu, Kambarage anajua faida ya kutuvamia ndio maana akafanya kila njia kutimiza hilo... lakini siku zenu zinahesabika.

Sasa hivi mshaanza kustaarabika ndio mnajifanya wajanja! wakati mlikua mnapanda meli kuja Zenji kuangalia TV,,, wanawake na wanaume mnavaa raba.... looh! mmetoka mbali nyie.

Subirini kidogo,, tukimaliza kuwafunza USTAARABU tutakuachieni. wala msihangaike hamuwezi kuuvunja mpaka sisi tutake. kama mnabisha tunaongeza karne moja nyengine.

Yakhe hapo umenena! ndiyo maana nawapendenda sana wanyamwezi mwajua kusema ukweli!!
 
Mimi nionanvyo hakuna faida ya kusemana maneno machafu na kuleta hoja zisizokuwa na maana yoyote Waliounganisha huo Umoja wetu hawako tena duniani haifai hata kuwataja kinachotakikana kujuwa kuna Faida gani ya huo umoja wetu Tangu

tuungane katika nchi hizi 2 kuwa ni nchi moja? Je Wananchi wa Ki-Zanzibar na Wananchi wa Ki-Tanganyika wanafaidika na huo Muungano wetu? Kama hakuna faida ya huo Muungano ila ni kuumizana itabidi Watengane hao waliungana.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni kwa mfano ni kama ni ndoa ya watu wawili waliopendana Mke na Mume sasa ndoa nayo ina muda wake.

Ikiwa katika hiyo ndoa kuna faida yoyote basi hiyo ndoa itadumu la kama hiyo ndoa haina faida yoyote ile basi kutengana kwa hiyo ndoa ya muda mrefu itabidi wafanye hivyo hao wana ndoa, Hayo ni mawazo yangu.
 
Hatu wachukii wazanzibar tuna chukia maneno yao na hoja zao chochezi na za kipuuzi zanzibar ina kadiliwa kuwa na population ya watu kama milion mbili dar ina kadiliwa kuwa na pupln kma mlm tano dar ni kubwa kiliko zanzibar tanzania nzima popln kama 46 -60 milion sasa nani wa kumtegemea mwenzake milin mbili inaweza kutegemewa na milin 43 lets say walio bakia
huo ni uvuvu wa kufikilia mashairi na matusi hayana tija tuna taka hoja wapi tanaganyika ina wanyonya wazanzibar hoja zao dhaifu kweli kweli lkn wamekuwa ni watu wa jazba na hasira eti wanataka team yao ya mpira itambulike fifa na wa o kama taifa la zanzmbr ni kweli lkn si wna mifano waangalie taifa starz na kutambulika fifa ina mchango gani katika budgte yetu hamna jingne wanataka kuwa na kiti UN ni sawa lkn mnayo yapatakatika serikali ya muungano ni makubwa mara dufu kuliko mtakayo yapata huko UN tun wapeni umeme kwa bei nafuu na serikali ya mapinduzi ni mdeni mkubwa wa tanesco kwa lugha nyingne serikali ya mapinduzi kwa budget ya leo haina uwezo wa kulipa deni hilo tuna lipa wafanyakazi wanao fanya kazi ya ki muungano huko wanajeshi na askri police pamoja na hayo bado kuna mgawanyo wa mapato tuna cho kipata toka kwa wafadhili wazanzibar bora mkawa wapole na ifike hatua tuheshimiane kulikoo kuliko kujenga taswira na maswali ya ajabu na kitendo cha kuchana rasim ya katiba hapo ndo nilipoona zenji kuna matatizo ya kiuelewa ni hayo tu asuhuhi hii
 
wazanzibar wameonge weee na sisi watanaganyaika tumejitia kujitwika gunia la misumari wakati vichwa vyetu upara nashindwa kuelewa mtanganyika na mzanzibar nani anamuitaji mwenzake zaidi madai yao eti wana bandali tanganyika tuna bandali ngapi eti wana uwanja wa ndege tanganyika tunavyo vingapi sasa limeingia la gessi kwn tanaganyika tuna a machimbo mangapi kila siku zanzibar ,zanzibar waacheni na ubinafsi wao na sisio tudai taifa letu tanganyika
ni just maoni tuu wamenfika mwisho leo

waulize ccm wamewekeza mtaji shs ngapi kura! Make ni sehem yao ya kujitoea kura huuko zenji kwa akina kiberraaa!
 
Manufaa ya muungano ni muziki wataarabu amabao watu wabara tuanaupenda na wazinzibari ndio wanaoupiga
 
Thats off the line...talk sense
no madame-kama unataka nizungumze sense unazotaka wewe-basi lete merits za huu muungano tuzichambue hapa

hii haijakaa vyema utakuwa mwisho wa dunia kwa wazanzibar kuwa watumwa wa tanganyika tatizo wengi wanaoropokwa hapa hata zanzibar yenyewe hawajafika fikeni angalau mjilinganishe na wao ni kweli tanganyika kuna kila kitu lakini mpaka kesho watanganyika wanabaki ni ma house girl na ma haouse boy kule znz huwezi mkuta mzanzibar akafanya kazi kama hii kwa mtanganyika . Tuna msemo tuatumia asiekuonea tabu kukukalia uchi usione tabu kumtizama . Edward teller wewe ni mmoja wenye chuki binafsi na wa znz huna tofauti na avatar yako !
sina chuki na wazanzibar-ila sioni faida ya muungano/kuungana na watu wasio na faida yoyote kwa taifa-zaid ya kutuongezea matatizo

Kumbe wewe ETeller hujui kama Wa Tanganyika tulishawahi kufanywa watumwa kule Unguja na Pemba Zanzibar...wazee wetu wa KiTanganyika walikuwa wanafanya kazi za kulima katika mashamba ya MI karafuu na Minazi na ukuli katika bandari zao kule Visiwani....Wa Zanzibari waliendelea na biashara hiyo hadi miaka ya 90s wakati dada zetu wa kitanganyika walikuwa wamebakia kule kufanya kazi za majumbani (house keeping girl) na unyonge wao wote basi walipewa hadi nick names walikuwa wanaitwa maTX na vijana wa kule zenji:peep:

Wa Zanzibari ni wafanyabiashara wa mwanzo kuja katika mikoa yetu ya Tanganyika na kutuletea vitu vingi tu kama Redio na nguo za kuvaa na kutupelekea dada zetu katika ma guest house :cool2:
labda unisaidie tofauti ya waarabu na hawa wazanzibar-maana sijui unaporefer wazanzibar wa zamani unamaanisha watu

Manufaa ya muungano ni muziki wataarabu amabao watu wabara tuanaupenda na wazinzibari ndio wanaoupiga
ngudu yangu si wote wanapenda taarabu-wengine hata kuzisikia hawataki,na faida kama hizi ndo viongozi wetu wanazishikilia-na kuongeza hapo nyingine kama za kuoana?WTF-kwani ni wakenya/waganda wangapi wameolewa na watz?na bado hatujaungana nao?
 
Back
Top Bottom