Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
WaTanganyika ndo watu gani? sisi ni wa-Tanzania, ukitaka kutofautisha na visiwa tuite wa-Tanzania bara.WaTanganyika baada ya kuona Forodhani Park imekuwa na hadhi ya kimataifa nao ?
Wewe hebu uliza huyo Agha Khan amelelewa wapi ?We Mwiba wakati mwingine!!! sasa hiyo forodhani inahusiana nini na picha hii!!! Na, kama si Aga Khan, Karume au CUF wangeweza kukarabati Forodhani?
WaTanganyika ndo watu gani? sisi ni wa-Tanzania, ukitaka kutofautisha na visiwa tuite wa-Tanzania bara.
Wapi kwa wapi jamani Zanzibar wapo mbele sana ila matatizo ya Muungano ndio yameididimiza ,ona hawa baada ya kusikia kuwa ile sehemu ya aina yake ya kujipumzishia pale Mjini Unguja imekuwa kama Ulaya tayari eti nao wameanza kujaribu ,mtapata tabu sana lakini hamfiki mbali kila kitu kitakauka kwani roho ya baaadhi yenu hawaitakii Zanzibar maendeleo hivyo wakilaniwa wao basi nchi nzima ya Tanganyika nayo italaanika ,sasa hapa haijulikani hata wanafanya nini ,ni wizi tu huo ,ukiuliza hela inayotumika hapo ni zaidi ya bajeti ya Tanzania nzima ,au uongo ?
Wazanzibari uta waweza? Wao kila siku kuilalamikia Tanganyika tu ila bado Kwenye Muungano wapo tu.
Wapi kwa wapi jamani Zanzibar wapo mbele sana ila matatizo ya Muungano ndio yameididimiza ,ona hawa baada ya kusikia kuwa ile sehemu ya aina yake ya kujipumzishia pale Mjini Unguja imekuwa kama Ulaya tayari eti nao wameanza kujaribu ,mtapata tabu sana lakini hamfiki mbali kila kitu kitakauka kwani roho ya baaadhi yenu hawaitakii Zanzibar maendeleo hivyo wakilaniwa wao basi nchi nzima ya Tanganyika nayo italaanika ,sasa hapa haijulikani hata wanafanya nini ,ni wizi tu huo ,ukiuliza hela inayotumika hapo ni zaidi ya bajeti ya Tanzania nzima ,au uongo ?
Hivyo vitisho vya aliefumaniwa kunyatia mafuta ya Zanzibar,mkitaka msitake maendelo yalianza Zanzibar na yataendelea kuwepo hivyo hivyo ,maana hiyo Forodhani Park mnaiyonea gere eti nanyi mmeanza kufyeka na kusafisha masanamu ,sie sanamu letu tumelikarabati na sasa lina rangi ya fedha ,najua mida si mwingi nanyi mtaona mmepitwa.Sasa hao jamaa haijulikani kama walimia majani au wanatibua ,wizi tu hapo ,mkubwa ameshachota fedha ya kununulia vitendea kazi.Na wajaribu kutoka waone....!!
Watoto wa watumwa (wazanzibar) mna maneno ha ha ha ha
Sasa wewe mwenye la maana tangu ujiunge hapa hivi umeanzisha TOPIC ipi ,maana hata unachochangia hakina kichwa wala miguu.Unajua siyo lazima uanzishe thread wakati unajua kabisa huna la maana ila labda umejikuta huna cha kufanya. JF siyo mahali pa wewe ku-refresh mind yako kwa kuandika ujinga.... kakojoe ulale.
Hivyo vitisho vya aliefumaniwa kunyatia mafuta ya Zanzibar,mkitaka msitake maendelo yalianza Zanzibar na yataendelea kuwepo hivyo hivyo ,maana hiyo Forodhani Park mnaiyonea gere eti nanyi mmeanza kufyeka na kusafisha masanamu ,sie sanamu letu tumelikarabati na sasa lina rangi ya fedha ,najua mida si mwingi nanyi mtaona mmepitwa.Sasa hao jamaa haijulikani kama walimia majani au wanatibua ,wizi tu hapo ,mkubwa ameshachota fedha ya kununulia vitendea kazi.
Wewe na seif sharrif hamad mna mawazo sawa, ila yeye kakuzidi elimu na maarifa. Kama siku zote haja zako ni za aina hii basi nawaonea huruma watoto wako.
Wapi kwa wapi jamani Zanzibar wapo mbele sana ila matatizo ya Muungano ndio yameididimiza ,ona hawa baada ya kusikia kuwa ile sehemu ya aina yake ya kujipumzishia pale Mjini Unguja imekuwa kama Ulaya tayari eti nao wameanza kujaribu ,mtapata tabu sana lakini hamfiki mbali kila kitu kitakauka kwani roho ya baaadhi yenu hawaitakii Zanzibar maendeleo hivyo wakilaniwa wao basi nchi nzima ya Tanganyika nayo italaanika ,sasa hapa haijulikani hata wanafanya nini ,ni wizi tu huo ,ukiuliza hela inayotumika hapo ni zaidi ya bajeti ya Tanzania nzima ,au uongo ?