Sielewi ni nini kinatokea hapa na nili na wapi?
Inaonekana kama kuna mama ndani anakwepa kipigo cha polisi na nyuma kuna msafara wa kiongozi mkubwa Rais au waziri mkuu
Sielewi ni nini kinatokea hapa na nili na wapi?
Inaonekana kama kuna mama ndani anakwepa kipigo cha polisi na nyuma kuna msafara wa kiongozi mkubwa Rais au waziri mkuu
Nisaidieni kunifahamisha kidogo,tofauti kati ya majambazi na hao polisi ni nini? maana matendo yao yanashabihiana kabisa.
Duuu kwa kosa gani hasa?
Lucy Oenya ... Mbunge Viti maalum