Je ulishakaa ukafikiria kuwa mwenzi wako anafikiri kama wewe kwamba lazima utakuwa unachakachua uko uliko? What make U think kwamba unaaminika kwake lakini wewe humuamini yeye? Let me tell U wewe ndio unamfahamu mwenzi wako vizuri ili swala la kuchakachuliwa ni wazi toka ndani ya moyo wako kutakuwa na jibu! Kama nilivyosema think positive ukimkaribisha shetani hapo itakula kwako full.
Pole sana kaka.....usiwe na hofu..jamaa wote mji huu wanajua kuwa ni mchumba wako so wanamlinda kama CRDB...utamkuta salama silmini.....I am sure uliacha umembandika Logo yako kwenye paji la uso.....Don wore........
Wana JF ni muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa sijaonana na Mchumba wangu amabaye hata Engagement tulishafanya.Huku nilipo nipo kikazi na ninaamini kuwa nikirudi nitamkuta salama. Hata hivyo najiuliza kweli nitamkuta Salama au watu watakuwa wananichakachulia? Hofu ninayo sana kutokana na Maisha ya sasa je Nikirudi nifanyaje ili anagalau niweze kuwa na Imani nae?[/COLOR]
Mpime vipimo vifuatavyo
1- Modulus of Elasticity ya u#$ke wake
2- Radius of Gyration
3-Viscousity Index Ratio ya seminal Fluid yake
NB:- Vipimo vyote hivi shart usiwe umevaa mpira kwa sababu friction factor inaweza kuharibu matokeo sahihi ya vipimo
Ni maoni tuu
Wana JF ni muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa sijaonana na Mchumba wangu amabaye hata Engagement tulishafanya.Huku nilipo nipo kikazi na ninaamini kuwa nikirudi nitamkuta salama. Hata hivyo najiuliza kweli nitamkuta Salama au watu watakuwa wananichakachulia? Hofu ninayo sana kutokana na Maisha ya sasa je Nikirudi nifanyaje ili anagalau niweze kuwa na Imani nae?
vumilia kiume..we mbona wala vya wenzio..?!!:whoo::whoo:Kwahiyo hata kama alikuwa anakamuliwa nivumilie tu?
Hahaha....... Hii imenifurahisha sana....he hata wewe kama si kuwa nchi zenye msimamo mkali...ungeshachakachua siku nyiingi...
mbona una wivu hivyo,si inaoshwa tu...afu inatumiwa tena,lol:embarrassed:
Kwahiyo hata kama alikuwa anakamuliwa nivumilie tu?
Tena nimlete kwako umchakachue?
Uwe na Imani , Otherwise naye akiseme huyu jamaa mwaka mzima hana mtu kweli ? mtaishia kwenye maswali yasiyo na majibu .Wana JF ni muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa sijaonana na Mchumba wangu amabaye hata Engagement tulishafanya.Huku nilipo nipo kikazi na ninaamini kuwa nikirudi nitamkuta salama. Hata hivyo najiuliza kweli nitamkuta Salama au watu watakuwa wananichakachulia? Hofu ninayo sana kutokana na Maisha ya sasa je Nikirudi nifanyaje ili anagalau niweze kuwa na Imani nae?
Hapana mawasiliano ninayo poa tu sema lazima niwe na shaka