WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Hao wote uliowataja hakuna hata mmoja ambaye anafikia hata theluthi Kwa EL,kwa ufupi 2015 huyohuyo EL unaemuona lep hatoshi atatosha,kaa chini fikiria kwa makini,kisha fanya Uchambuzi wa kina utagundua haya ninayokwambia.