IrDA
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 743
- 350
Jamani e,wataalamu wa kuchakachua free internet mpoo??...jamani nina laini yangu ya airtel sijawahi kuifanya chochote ila cha kushangaza toka mwezi wa kwanza internet yake ni bureee kabisa na sijawahi kujiunga na bundle kwani nikiunganisha inakataa....mwenye mautundu awasiliane na mimi nimpe laini yangu aifanye testing kisha akigundua chochote aje akipost hapa ili wote tuchakachue tutumie bure.Nimeona sio vizuri kula peke yangu