Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Wandugu naomba msaada wenu katika hili! Nimebishana na baadhi ya waalimu,wanadai kuna ngeli 8 za nomino ktk kiswahili.Kuna kamusi moja imetaja ngeli 12 za nomino ikiweo YA-YA,I-I na U-U ambazo waalimu wamezipinga vikali.Naombeni msaada kwa wanaozifahamu vizuri.