Manyema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2010
- 645
- 1,637
gazeti la mwanahalisi la jana liliandika kuwa miraji kikwete amefungua ofisi ya CCM isiyo rasmi mtaa wa undali upanga no.175 ambako kuna wataalam wa IT aliyosoma nao Bangalore India walioandaliwa kuchakachua matokeo. wana JF kwa yeyota anayewafahamu anaweza kuwaweka hadharani tuwajue...!